Anatafuta uungwaji mkono. Anajua sehemu kubwa ya jamii ilishamkataa sasa anatafuta namna ya kurudi. Hayo maombi ni gia tu anajua watanzania ukiwatajia mambo ya Imani wengi watakuamini.
Uzwazwa wa karne huu. Kuna Kijana huko kashinda uraisi halafu
Muuaji anakuwaje na ushawishi? Labda nyumbani kwenu Huko Lumumba maana ndicho.mnachoweza kukifanya kwa ufanisi.
Makonda kaenda Arusha kimkakati. Mama anajua 2025 lazima alegeze kidogo ili wazungu waendelee kumwaga mipesa. Sasa Arusha Anaweza kuipoteza yote. Bado Mwanza, Mbeya, Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Kilimanjaro na Mara. Huko kote atagusa.
noise polution. Ila usitegemee wapige marufuku maana wanaogopa mwaka huu na ujao ni uchaguzi. Labda BAADA. Tegemea mambo ya hovyo hovyo kuzuka na kuongezeka kipindi hiki na hakuna atakayekemea.
Acha wivu na mawazo ya Watu. Ni ujinga kupangia watu wazima cha kufanya.Wewe fanya Hilo wazo lako Utapiga sana hela maana utakua peke yako. 😂️😂️😂️😂️😂️😂️
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.