Daahhh sisi tunaotegemea kujifunza, kufanya marketing na sales kwa njia ya mtandao gharama zimepanda tena. Leo naamka nakuta kifurushi cha Wiki cha ZANTEL ambacho ilikuwa unapewa GB 2.2 kwa Tsh 3,000 (Hapo kilipunguzwa pia kutoka GB 2.5) kwa sasa unapewa GB 1.9 tu. Sasa na haya mambo ya YouTube...
Kama unasumbuliwa na harufu mbaya ya jasho tafuta Deodorant (Bei zake mara nyingi ni kati ya Tsh 5,000/= hadi Tsh 8,000/= Tu) ya Nivea au Dove au Fa au Rexona au Axe na kadhalika kisha tumia kwapani mwako au kwenye nguo na utakuwa umepunguza au kumaliza kabisa tatizo lako. Kuna deodorant za...
AFYA ZAIDI CONSULTANTS inahitaji watu 30 watakaosaidia kusambaza kuponi na kadi za AFYA ZAIDI CLUB kwa maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam. Kama upo interested piga simu namba 0719326693 / 0743422883 kabla ya tarehe 26/5/2018 au fika ofisi ya AFYA ZAIDI CONSULTANTS iliyopo Kariakoo mtaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.