hao swala la usafiri bado kitendawili kwao kuna usafiri wa chuo tu mda wa vipindi,kwa starehe au shughuri zako binafsi usafiri akuna ni mwendo wa kuchanganya kwako
:flypig:
poleni sana najua nashangaa sana wabunge walidai waongezwe posho kwa kudai kuwa dodoma maisha yamepanda sasa hayo maisha yamepanda kwa wabunge tuu,mbona wanachuo awapatiwi pesa kwa wakati je wataishije
ushauri wangu wewe kuwa mpole kwani ukilianzisha tu utapoteza masomo si umeona yaliyo wakuta udsm,je wale wenzenu walio timuliwa wameludishwa hadi leo? hii nchi ni watu wachache na familia zao
haya hadi watakatifu nao wanagoma ukiona hivyo mwisho umefika unajua tumezoea kusikia vyuo vya umma kama udom,udsm na leo st john hii inaonesha ni jinsi gani hii nchi inakwenda pabaya,ki ukweli awa vijana wanaishi katika mazingira magumu ya kifedha
inaonekana ninyi nyote amjapendana,kwani naona unataka kuamia kwa huyo dada mwingine kwa sababu kuwa mpenzi wako wa mwanzo aeleweki,lakini hicho sio kigezo inabidi mkutane na inabidi wawe wazazi wa pande zote mbili muyaongee kama itashindika ndyo ufikilie kwa mwanamke mwingine
yaani kama kunauwezekana na likazibitishwa hili inabidi azabu kali itolewe kwa muhusika na wasimamizi na uongozi wa shule inabidi nao waadibishwe inaonekana ni kamchezo cha shule hilyo,au kama vipi shule ifutiwe usajiri hapo tunaandaa mafisadi wa taifa la kesho
jamani wadogo zangu wa kidato cha sita acheni kelele nazani kila kitu kinautalatibu wake,kikubwa we jiande kwa kujitunzia fedha za kwenda kuanzia maisha chuoni kipindi unasubili bodi ya mikopo,
naona mnamchecheto na tcu,vyuo vinafunguliwa mwezi wa kumi,kwani yakitoka leo...
wanajamii natatizwa na haya maneno hivi unasema company,ltd,enterprises kunatofauti gani,kwa mfano ukisajili biashara kwa jina mapendo company ltd,mapendo company au mapendo enterprises kunatofauti gani katika hayo maneno,naomba maelekezo zaidi
Unajua matatizo ya college of informatics udom ni mengi nimeonana na wanachuo wa college ya informatics wameeleza matatizo yao mengi sana likiwemo la wenzao kila mwisho wa mwaka wapatao 70 hufeli na kurudi nyumbani kwa kile kitendo cha kufeli kinachotokana na ufundishaji mbovu chuoni hapo...
Unajua nimefuatilia kwa kina vyanzo nya matatizo na migomo chuo cha udom hasa iliyopelekea mgomo mkubwa ambao unawafanya watoto wa wakulima wapatao 1200 wapo mtahani kama wazurulaji kwa kile ambacho awajui watalejeshwa lini chuoni hapo
matatizo ambayo yapo hapo college of informatics ni...
unajua nimesoma ulichoandika ni mawazo na mtazamo wako siwezi kukupinga lakini kumbuka kunanchi kama rwanda wanakauli mbiu ya one student one laptop na imewezekana,pili swala la mgomo la wanafunzi wa informatics nimelifuatialia kwa karibu sana mbali na laptop kama uongozi wa chuo unavyodai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.