Najaribu kuangalia jinsi unavocoment nahisi unatoka mwambao wa Pwani... dar, Zanzibar, Tanga, Bagamoyo, Lindi na Mtwara nahisi humo kuna sehemu umetoka.
Pemba kama Pemba ni wakarim mnoo hawana mambo mengi.
Vifuatavyo ni vitu ambavyo vitakusaidia ukiwa Pemba. Kabla sijakwambia vitavokusaidia naomba uniambie unaenda Pemba sehemu gani na naamini ntakusaidia hapa hapa mpaka kukamilisha vitu vyako. Au ni PM kwa msaada zaidi.
1. Kuwa mwazi...
Habari za majukumu wakubwa na wadogo. Poleni na kazi na wale waliofunga kama mimi Mungu atusamehe tulipokosea ndani ya mwezi huu. Niende moja kwa moja kwenye mada.
Iko hivi kila siku tunasikia kuna matapeli wa mitandaoni ambao wanajihusisha na wizi fedha kwa udanganyifu... Sasa nakua nikisikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.