Ebanaa ee wanajukwaa naandika hii stori ya ukweli uku nikiwa sina majibu na siamini kama swahiba wangu wiki ijayo anaoa.
Jamaa alikuwa sana muumini wa mitandao yetu hii ya badoo, tinder na mingine, sasa katika pita pita zake akakutana na mwanamke badoo ni wa kawaida tu kimuomekano wakawa...
Hivi kwa mil. 5 naweza kujenga nyumba ndogo ya chumba 1, sebule, jiko na choo mpaka kiwango gani?
NB: Kiwanja kipo Dodoma Kisasa Au niongeze mpaka ngapi wakuu?
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari hapo juu natafuta shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo cha mahindi iwe Mbeya, au songwe kwa mwenye nalo au kama unaweza nisaidia mwaka huu nataka nijikite kwenye kilimo cha mahindi au maharage.
Contact~0673714012.
Habari wakuu, nimekuja kwenye jukwaa ili niombe ushauri nifanyaje tatizo langu ni kila mwanamke ninayemuona natamani kuwa naye. Awe mwembamba au mnene uko bado ndio nishachafua karibia wote, kila nikisema huyu wa mwisho nakaa kidogo siku mbili napiga mwingine tena.
Yaani magesti yote...
Habari wakuu, Nina rafiki yangu ambaye ni mjamzito wa miezi Kama minne saivi leo anasema ametoka damu sana puani mfululizo na nyingine pia Kutoka kwa njia ya mdomoni kidogo Msaada kwa watalamu nn Inaweza kuwa tatizo?
Kama mnavyojua jamani vyuma vimekaza sana usawa wa bamkubwa, nimepata kibarua cha laki 2 hivi mkoa wa Dar, sasa swali ni je nitaweza kuishi Dar na mshahara wa laki 2 na naskia maisha ni magumu sana uko vyuma ndo vimekaza zaidi uko.
Nilimtongoza kiutani uyu dada, mara ya kwanza alikuwa mgumu mgumu mara akatiki, mchizi nikatembea nae sasa tatizo mtoto wa watu kaniganda anadai eti mi ndo mume wake eti na huku mi nilimtamani alafu ananitishia nikimwacha atajiua na ataacha ujumbe, mi aninipa stress kwa sasa.
Habari wakuu kama mnavyojua mambo ya ajira ni pata potea, nataka nianzishe kimradi changu cha kuku ila wa kienyeji, ss sina sehem ila kuna chumba cha nje kipo wazi..swali ni je kuku wa kienyeji wanaweza kaa ndani ushauri kwa wataalam natanguliza shukrani...
Hivi karibuni nilileta uzi uliosema; Naomba ushauri mapenzi yananitesa
Wakuu nashukuru kwa ushauri wenu nimeufuata na sasa niko single.
ANGALIZO; No pm sina mpango kwa saivi, na enjoy this life for real.
Habari wakuu,
Mimi ni kijana wa umri miaka 23, nipo kwenye wakati mgumu kwa sasa kuamua kikwazo hiki kikubwa kilichopo mbele yangu. Kuna msichana mmoja nilimpenda sana pindi tukiwa chuo na kila nilipomfuata alinikatalia na kusema yeye ana mpenzi, sikukata tamaa niliendelea msumbua sana tukiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.