Kuna heading nimeiona sehemu, mtu amemchoma mwenzake kisu kisa kamwagia maji tena machafu kwamba ni kumpongeza kwa Birthday.
Juzi tena mchezaji wa simba naye alichafuliwa mwili mzima kwa matope eti ni birthday
Kweli ukiwa ndotoni unaweza kukataa kitu au kukubali, wakati mwingine unaamuwa kuikatisha ndoto kwa kujilazimisha kuamka toka usingizini. Let say umeota unateleza kwenye poromoko la ukingo wa mto sasa unaenda kutumbukia mtoni... Ukiwa usingizini binafsi utaulazimisha mwili uamke ili usitumbukie...
Mkuu jiandikishe upige kura kwa lengo la kumchagua kiongozi wa mtaa wako, kujiandikisha hakuhusiani na chama chochote cha siasa.
Utachagua kiongozi atakayekuongoza miaka mitano.
Siku moja niliji ''mwambafai mwambafai'' kwa mapoti flani walinikamata kwa kosa la kubaka panzi.
Jamaa inaelekea unapiga sana pombe.
Ungezama kwenye Uzi wa Baba lao Mshana Jr
Hapo majuzi alikamatwa mfanyakazi CRDB, Leo EXIM, hawa vijana si wafanye kazi, tamaa za nini.
Naisi wanapofunga hesabu ya siku fedha zilizopo wanazimezea mate na kuzitamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.