Habari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare...
Habari za mida hii wakuu.
Kufuatana na janga hili la ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na kirusi cha corona,
Kumekuwa na mjadala kuhusu lockdown ya nchi nzima ambapo baadhi ya watu wanamtaka Rais wa nchi aidhinishe total lockdown.
Na wengine wakitaka hali iwe hivi hivi ilivyo.
Ninadeclear...
Kwenye vitabu vya shule ya msingi ubepari uliokomaa unaitwa ubeberu... hapa nadhani wataalamu wa kiswahili waje watuambie ilikuaje kiswahiki cha imperialism kikawa ubeberu.
Hali ya sintofahamu yazuka baada ya website ya bodi ya mikopo kuhackiwa na watu wajiitao TANZANIA HACKERS na kuanza kupost mambo yasiyohusiana na taarifa za mikopo..
.maneno yanayosomeka kwenye website hio ni kama 'HAPA KAZI TU'
Na 'WATU WASIOJULIKANA'
Habari wakuu..
Hivi unataamua kufanya nini kama ukiamka ukapata siri ya kusafiri na muda (time travel)
Yaani uwe na uwezo wa kuchagua muda wowote unaotaka kwenda.
Kwa mfano unaweza kwenda mwaka 2o99 then ukarudi sasa hivi 2018?
Au ukaenda mwaka 1944 ushuhudie vita ya pili ya dunia mubashara...
Chemsha Bongo...
--------------------------------
Inspekta Gamba akiwa anaelekea kazini saa moja asubuhi akakuta kikundi cha watu kando ya mtaro. Kwenda kujionea kunani, akakuta kumbe wamezingira maiti ya mwanamke.
Akawaamuru wasogee kando. Akaanza kuichunguza ile maiti ambapo akakuta pete ya...
umewahi kujiuliza kwa nini ATM hutoa kwanza kadi kabla ya hela??
waliodesign ATM wanajua hulka ya binadamu kwamba akishapata anachotaka anasepaaa...
yan ATM zingekua zinatoa kwanza mshiko kila siku tungesikia kesi za kusahau kadi kwenye vyumba vya ATM..
WANGAPI wangekumbuka kuchukua kadi...
Kwa mara ya kwanza tangu kuumbwa kwa dunia hii tutashuhudia opareshen kubwa ya kupandikiza kichwa cha mtu.
Tarehe ya opareshen ilishapangwa itakua mwezi wa 12,2017
opareshen itafanywa na madaktari na manesi 150 kwa pamoja wakiongozwa na daktari mtaalamu wa mishipa ya fahamu(neurosurgeon) Sergio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.