*HEKO BENKI YA CRDB KWA UBUNIFU HUU*
*Kukua kwa teknolojia kumeleta mabadiliko mengi chanya yanayopelelea maendeleo katika jamii zetu. Nakumbuka nikiwa mdogo mama alipokuwa akitaka kwenda benki alikuwa akituagiza tumletee kitabu chake cha benki, vilikuwa kinatunzwa sana ni mara chache utakuta...
*HEKO BENKI YA CRDB KWA UBUNIFU HUU*
*Kukua kwa teknolojia kumeleta mabadiliko mengi chanya yanayopelelea maendeleo katika jamii zetu. Nakumbuka nikiwa mdogo mama alipokuwa akitaka kwenda benki alikuwa akituagiza tumletee kitabu chake cha benki, vilikuwa kinatunzwa sana ni mara chache utakuta...
Nadhani naongea na wrong person. Unawajua vizuri wakulima wa kitanzania? unajua kwanini Saccoss zilipitishwa kisheria ili kuwafanya wengi wao "wakopesheke?". Naomba nitafute muda nikupe lecture kwanza maana naona kuna mengi huyajui.
Unajua chochote kuhusu mikopo ya vikundi au Saccoss? unajua kuwa mabenki yanakopesha Saccoss ili Saccoss zikopeshe wanachama wao wadogo kabisa. Unajua kuwa kuna Saccoss kubwa kama Turi-Saccoss ya wakulima wa Miwa pale Mtibwa ambayo imejengewa uwezo na Benki na sasa inakopesha wakulima wadogo...
Mfano wako hauna Mahusiano na mada iliyopo mezani. Acha kulalama bila pointi, mabenki yanatoa mikopo ya kila aina kuanzia biashara kubwa mpaka wajasiliamari na kilimo. Njoo na data hapa za hao watu wa chini walionyimwa mikopo sababu ya utu wa chini wao.
Uwezo na ufahamu wako kuhusu masuala ya uchumi unanitia Shaka sana. Unafahamu chochote kuhusu Corporate tax zinazolipwa na makampuni? unajua chochote kuhusu PAYE inayotokana na ajira?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.