Habari za saa hizi wakuu na poleni kwa mchaka mchaka wa siku nzima..
Najogea mahali hapa nikiwa nahitaji mawazo yeye wanajf wenzangu. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili(chuo kapuni) nina huyu rafiki yangu wa kike ambae nasoma nae coarse moja sasa huyu dada nipo nae close sana kiasi kwamba...
Habari za saa hii wakuu na pole sana kwa mchakamchaka wakutwa nzima..
Sasa wanawane mimi nilikuwa naswali kwa wakina dada wale wanaotaka wanaume wenye magari, wadada mnaotaka mwanaume mwenye gari kwani we dereva hadi utake mwanaume mwenye gari?
Habari za saa hii wakuu..
Leo nimeona nisiwe mchoyo kushare hiki kidogo nilichokiokota okota huko mitandaoni katika swala zima la mahausiano. Watu wengi wamekuwa wakitamani kujua dalili za mpenzi mkorofi(mimi binafsi nimetamani kuzifahamu).
1)WIVU- huwa ni watu wenyewe wivu sana kwao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.