Nimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua.
Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo...
Wandugu mimi ni mfanyakazi katika taasisi binafsi ya elimu, nna mke na watoto wawili, nimeishi na mke wangu Sasa mwaka wa 4 baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,
Mwaka Jana mwishoni nlilipa mahari kiasi Cha tsh 1.5m na tumeishi maisha ya amani mpaka leo ila Ana matatizo haya...
Niende moja kwa moja.
Moja ya sababu zilizotolewa na mkubwa katika wakati wa kampeni ni kuwa wapinzani wanakwamisha maendeleo kwenye majimbo.
Pia sifa ya chama kupata wabunge wa viti maalumu n kutokana na kupata asilimia kadhaa ambapo mwaka huu Chadema wamekosa.
Ni wazi sasa mbunge mmoja wa...
Jamani naomba kujuzwa maana huku nilipo n mbali na mtandao, nasikia rais katangaza ajira kada ya ualimu, kwamba watu waombe je Ni kweli?
Na vipi tunaomba kwa anuani upi?!
Na wanahitajika Ni sayansi tu au wote?!
Na zoezi hili litaisha lini?! (Deadline)
Msaada tafadhali maana Hali so shwali...
Waungwana hi[emoji120]
Jana wakati naogea nje nokaacha mlango wazi ambapo nje kulikuwa na giza na ndani mwanga so Hali iliyokuwepo wa nje anaona vyema ndani
Baada tu ya kumaliza kuoga nikaingia ndani na kutana na huyu mdudu, awali nilijua Ni nyoka na kwakuwa mi Ni muoga wa kuua nyoka nikamwita...
Waungwana habari za muda huu...
Nimekuwa nikiwaza kwa wiki nzima Sasa kuhusu hili janga la dunia nikaona na kugundua kuwa kama WAAFRIKA tungekuwa tunawaza nje ya box hapa ndo pakutokea
WHY
1. Hili janga halijatuathiri waafrika moja/moja
kama ndugu zetu huko ulaya
2. Rate ya vifo huku kwetu...
Wananzego habarini.
Baada ya kumaliza chuo nilikutana na msiba wa Mama yangu kipenzi, niliumia but Kazi ya Mola. Mwaka mmoja baada ya wanafamilia kuwa tumekaa kwa umoja na kuwa tumeanzisha vimradi uchwara mzee akaijiwa na wazo la kuoa.
Haikutupa shida ila tatizo lilikuwa kwa mke mtarajiwa...
kumekuwepo ns uvumi kuwa kuna website ya watu wanaohitaji kwenda kufundisha somo LA kiswahili nchini afrika kusini, je kuna ukweli kuhusu uvumi huo... kama website IPO tunaomba iwekwe tujiusajiri wandugu
Nilihitimu degree 2015 art.. Matokeo yangu ya kidato cha nne sikufaulu masomo vyema mawili , hesabu na historia... Baada ya hali ya ajira awamu hii kuwa kama tumesuswa hivi nataka nirudie mitihani hiyo then nisome na masomo ya chemistry na physics ili huko mbele nibadirishe fani, najiuliza...
Waungwana husikeni na kichwa cha habari hapo juu nimehitimu Bachelor of education chuo kikuu cha arusha kwa masomo ya kiswahili kama major na history kama minor nipo hapa kutafuta kazi ambayo ipo katika hatua yoyote.
Ombi hili ni serious maana tangu 2015 nimejaribu kwa namna navyoweza na huu...
Habarini za sasa hizi ndugu zangu nadhan hamjambo na tabasamu feki tena za kujilazimishaaa
Waungwana Mimi ni mwana art mwenzenu ambaye nimemaliza chuo mwaka 2015...
Nilipambana kweli kufika hapa na maisha yalivyomagum but mwisho wa siku ndo nlitrgemea kwa namna moja au nyingine kuwa mwalimu...
nakumbuka sera ya "rais wa wanyonge" ndiyo ilinipa nguvu kuja kumwona jukwaani dec 2015, ni miez kadhaa tu tangu nimalize chuo kikuu nikitumainia namaliza chuo mnyonge nakutana na mnyonge kiongozi NIMEPONA@
cjakAa sana sukAri ukaenda kwa 2000 na zaid
watu wakaachishwa ajira zao hewA
patamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.