Kwa hiyo baada ya kubinafsishwa nauli tutakuwa tunalipa kwa dola?
Kama sivyo huyo muwekezaji hizo dolla atazipata wapi ambapo mzawa atashindwa kuzipata?
Ukijigundua ni kilaza sio lazima uchangie, unaweza kusoma na kupita tu.
Kuna uwezekano nyaraka zako zilitumika kutengeneza line zingine zaidi ya hizo mbili halali.
Hao ma freelancer huwa wanadublicate line na kuziuza.
Km ni hivyo hapo imekuka kwako mkuu
Ni sehemu ya ku promot uchoko.
Wakimwambia hata PAC au Batista kaliwa wanalegezwa kisaikolojia so nawao wanalegeza misimamo, mara paap' wanaliwa kimasihara!
Mkuu umeonesha kiwango kidogo sana kwenye kujadili hoja.
Hoja hapo sio Sita alifanya nini ila Sita alisema nini.
Ukitaka yule asiye na kando lolote ndie awe na haki ya hoja yake kujadiliwa hutampata kamwe!
Hata wewe mwenyewe nafsi yako haitaweza kujijadili sabab wewe pia sio msafi
Asiye na...
Hivi akili zenu huwa mnaziweka wapi?
Mmefikia hatua ya kufurahia ugaidi?
Mmesahau hata Marekani alipigwa tukio Sept 22?
Pentagon ilishambuliwa itakuwa ajabu kushambuliwa ukumbi wa disco ?
Mkuu usichanganye mambo.
Kuheshimu mzazi na kumrithisha mzazi ni vitu viwili tofauti.
Tunapaswa kuheshimu wazazi ila sio kurithisha wazazi.
Tunarithisha watoto, wazazi tunawapa only upendo
Nishaanza kuzeeka na siogopi hilo.
Ndivyo dunia ilivyo.
Usiweke matumaini sana kwa wanao utakufa kihoro.
Nawapenda wanangu so nahitaji pia upendo kutoka kwao.
Nikisema upendo simaanishi upendo wa kiuchumi.
Maisha yangu nimeshayazoea, sihitaji ndege wala gari uzeeni. Kwakifupi nshazeeka sina...
Sasa unalaumu nn hapo?
Wazazi walikuwa na maisha yao wakamzaa kobe.
Kobe akawa na maisha yake akatengeneza familia yake, maana yake kobe akawa kizazi kingine mbele.
Sasa mzazi anahusikaje hapo zaidi ya hisani tu?
Yaani nisiipende familia yangu kwa sababu ya mzazi wangu?
Mzazi anatakiwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.