Aibuu kubwa hii jamanii aiseeeee,,,
Yaaani,,,
Eneway labda hata wao katiba inawaruhusu kuafanya hivyo, maana hii nchi ina order nyingi kulingana na cheo chako,,, sio Elimu ulonayo
Aiseeeeee
Nywele hizo zina majina mengi,
Nywele hizo,, zkiwa kichwani nywele,,,
Kidevu =
Kifuani =
Aaiseeeeee
Ukishuka chini
Mavuuuu mbi ya kokoto
cc dokta mjusi Prof kazi
Mmmmmmmmh nmepata ukakasi kdogo, aiseeee inaamaana hata Walter Rodney alkua kilaza maana kafundisha udsm,,, afu alfanyiwa assassination na wazungu .........
Aiseeeeee hii kero,, nakumbuka mie hata cheti cha TYCS form 6, skupata kwa sababu ya michango hiyooo,, injili n bure,,, lkn..... Aiseeee mi nshasahau milango ya makanisa kwa sasa,,, ila ntaanza kusali mbeleni,,,, tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.