Kesho watasema ushoga na usagaji ni halali eti kisa kuna magonjwa. Mwenye kutumia toys atakuwa na tatizo la kisaikolojia. Haiwezekani Mungu alikuumba na kwa jinsi ulivyo na wewe unatengeneza maumbile yako for what?
Kibailogia, huyo pengine inawezekana siyo kaka yako wa baba mmoja. Pengine mama yako alichepuka kisha akambambikia baba yako mimba. Kama siyo basi wewe umeingiwa na jini linalokulazimisha ufanye hivyo. Ndoa za siku hizi ni fake sana.
Hizo hoja si za kitaalamu, na utafanyeje kwa bidhaa ambazo hatutengenezi hapa kama magari, vipuri vya magari, petroli na kadhalika? Yahani kumbe ndo maana mambo yanazidi kwenda kombo kama wataalamu wenyewe ndo kama hao. Bora angenyamaza kimya kuliko kutoa hoja za ki layman kama hizo
Kura 20,000 ni nyingi sana kama hujui hilo. Waliondani wameona umuhimu wa kura 20,000 kwa vile wanaona hali sio nzuri ila kwa wewe uliye nje huwezi liona hilo. Zisingekuwa na madhara basi wangekaa tu wala wasihangaike na upinzani kwa maana kama wana uhakika wa kushinda nini kuhangaika.
Ohhh wameshapagawa hawa. ccm wanatumia advantage ya umbumbumbu na ujinga wa watu kuto kujitambua. watu hao masikini lakini bado wanawachangisha pesa eti ya kujenga maabara na wao wanakubali wakati wenyewe wanatembelea mashangingi ya bei mbaya. wanawadanganya wananchi wamefuta ada wakati...
Sio Dr.? Mnajipa matumaini tu wakati nchi ilishawashinda. Huyo mnayemwita zero ndo amewapeleka mputa mputa kweli mpaka sasa hamjui la kufanya. Kila kitu kimewashinda tazama mpaka dola inafikia 2030 hii si hatari? Kama huyu mnamwita zero basi nyie ni Mr. Negative
Amini usiamini hiki chama kimeanzishwa mahsusi kuuzoofisha upinzani ususani cdm. Kwanini wale wanaojiunga na hiki chama ni wale tu kutoka cdm na si vyama vingine?
Ninachokiona hapa ni ushabiki tu dhidi ya washabiki wa urusi na washabiki wa marekani. hamna mwenye concrete evidense. unaposema fulani ni zaidi lazima utoe evidence technically na sio kuweka picha hapa na kutuambia fulani ni the best. Hizi ni propaganda tu
Ndugu wanajamvi napenda kujua kama spare parts za audi zinapatikana bongo hapa. Maana kuna mtu anataka nimwagizie audi ila sasa kabla sijamuagizia ni bora nikajua upatikanaji wa spare nisije kulaumiwa. Anayenijibu naomba anitag.
asanteni sana weekend njema
Naona kama chama chenu kinataka kusimama kwa mgongo wa ZZK! Hapo ndo kosa mnalotaka kulifanya toka awali. Jengeni chama kama taasisi si kwa kutumia jina la ZZK mtakuja kujuta huyo akikosa kugombea vyeo vya juu tu ni shida. Tumeshamjua ni mtu wa kupenda vyeo na wala si vinginevyo.
Habari wana jamvi. Natafuta nyimbo za mwanamziki Caz T aka mwana wa komba. Ki ukweli nimezimiss sana hizo nyimbo. Yeyote mwenye taarifa mahali zinapatikana tafadhari anisaidie. Naomba ukijibu unitag ama unikoti.
Asanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.