Habarini, napenda kuuliza kama tume ya kuratibu Mishahara ya watumishi wa Umma kama ipo! Na kama ipo imefanya lini Review ya Mishahara?
Na je Mshahara wa Raisi unaratibiwa na nani? Na kwa nini kwa Tanzania sisi ni kosa mshahara wa Raisi kuwekwa wazi na kwa wananchi ambao kimantiki ndio waajiri...
Shikamoo!
*Tundu Lisu Katika Ubora Wake*
[emoji481][emoji481][emoji117][emoji117]Kule.
LISSU: Mheshimiwa Hakimu katika hoja za ipande wa Jamhuri wakiomba nisipewe dhamana wametoa refference ya kesi za Afrika Kusini. Lakini wamesahau kuwa sheria hizo ni za mwaka 1976 ambapo kilikuwa ni kipindi...
Kwa uelewa na maoni yako ni chama kipi Kati ya CCM na CDM kinafanya vizuri kwenye chaguzi kwa kulinganisha na hoja ya mtoa uzi kwamba CCM wako 8 mil. na CDM wako laki 6 na ukihuanisha na matokeo ya uchaguzi mkuu ambapo CCM walipata 8 mil. na CDM 6 mil.
Kama Chadema wako laki 6 na walipata kura zaidi ya milioni 6 so Chadema wanakubalika zaidi kwa wananchi kuliko CCM walio milioni 8 na walipata kura milioni 8.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.