Wakiwa makini na kazi mbona watafanya tu kazi vizuri na ndege zitatakuwa hazitishi wao kwanza watengeneze mpango kazi kwanza kila kitu kitajipa huo mpango kazi usiwe na trip za nje ya nchi for 5yrs. Uwe na route a ndani2 na mabei yao hayo waachane nayo kabisa wafanyie kazi nauri za fastjet.
BAGHDAD, July 11 — In an astonishing heist, guards at a bank here made off with more than a quarter-billion dollars on Wednesday, according to an official at the Interior Ministry.
The robbery, of $282 million from the Dar Es Salaam bank, a private financial institution, raised more questions...
Mahesabu kidogo Tu 1.3T makusanyo ya mwezi * 12 miezi ya mwaka = 15.6T. Bajeti ya mwisho ilikuwa 22T Bila elimu bule. Na hizo ni midafu hatuwezi agizia mafuta, dawa. Pia msahada wenyewe mashariti yake ndo hayo nchi yako iwe ya kidemokrasia. Pia jua atuna export yoyote ya kutuingizia $ nyingi ili...
Mwachenu magufuli afanye kazi ya wananchi kama wewe no ccm basi najuwa 2020 I'll vote no 4 magufuli na kama we we ni ukawa na mwananchi wa kawaida watamchagua lea kishindo Jana atatekeleza wajibu wake lea wananchi.
Hivi hicho chakula ni cha ccm ama ni cha watanzania? Hata kama wamenyima ndo mada iwe mada ya kuandika nafkiri wewe umemudhalilisha Rais wetu kwamba ni mchoyo so hakuna chochote atakachoweza kudeliver kwa wananchi wake. Sababu ni mchoyo na hata Ikuru huko hatapata wageni kwa sababu itakuwa...
Wanaweza achana Na kununu Mpya matengenezo yake yanaweza Kuwa ni ufisadi mkubwa....http://m.youtube.com/watch?v=DZTXa4qerI4
http://m.youtube.com/watch?v=uHu9aa0QDiE
A sixteen slice scanner will cost between $95,000-$165,000 installed with a ?first scan? warranty. Your manufacture preference is a key component. While popularity can be disputed to all hours of the night - GE, Siemens, Philips, and Toshiba are without a doubt the major players in the CT...
Kama wewe una sifa ya kupiga kura,na unanishinikiza mi mwenye sifa ya kupiga kura nipige kwa matakwa yako. Basi we utakuwaa Suzy wa mAzuzu na kuendelea kupiga kelele za lowassa lowassa wakati una kichinjio ni uzuzu Poa. Karibu tanganyika mwanakijiji
We acha ukilaza wako, elimu ni bure sa bodi us mikopo ya nn? Au mama yako anafanya kazi bodi ya mikopo basi mwambie akikosa kazi arudi shule kwani elimu ni bure.
Kwa mahesabu yako kwa wanafunzi wa elimu ya juu wataitaji 800billion kwa mwaka plus chekechea hadi 4mu-6 500billion total Liu 1.3tillion($ 600million)kwa hiyo wewe unaona maajabu kwamba hazipatikani. Ukifuta tu misamaha ya kodi tu unapata 1.5 t ambayo no zaidi ya maitaji us wanafunzi wote tz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.