Mkuu uzuri sitembei peke yangu na anajua ndio maana jeuri pale kawe kama nyumbani mkuu,,Nina vijana wazuri mbaya kaka muulize chin biz aliembetua alikuwa nan [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mkuu nambie jina lake mkuu tujuane ili tujue tunafanya circulation ya ela yako ukimpa nampiga alafu narudisha kwako,, usiniendee Mombasa mkuu [emoji35]
Usikute dogo mwenyewe Mimi mkuu maana nakula ela za dem wangu ananiambia kuna boya hapo mmjini amemnunulia hadi plot kama najiona mm huyo hivi,,,,kila akiniambia nisindikize mm nichil kisehemu akifika kuondoka ananistua tukutane stel tu
Mbna nikisikia ilifika kia wakakuta ndege nyingine kubwa inaruka so akaambiwa asubir kama dk kumi akaamua akatue Kenya but ikawa ishaashiria wese limekata ko ruban akaona haitafika kenya akaidirect arusha akapata nafasi ndipo alipo ishusha na ilienda had nje ya uwanja,,,tair za mbele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.