Waungwana kwema jamani
Ningepend kupata mzaada na e.imu kidogo kuhuxu maswal haya n CERTIFICATES EQUIVALENT maana nimesha lipia kila kwenye muemdelezo wa kujaza taarifa zangu kuna kipengele kimeandikwa C/O sijJu wanamaanisha nini. Ivyo bhasa kma ushawai kufany hili jambo naomb tusidizanane jamni
Waungwana kwema jamani
Ningepend kupata mzaada na e.imu kidogo kuhuxu maswal haya n CERTIFICATES EQUIVALENT maana nimesha lipia kila kwenye muemdelezo wa kujaza taarifa zangu kuna kipengele kimeandikwa C/O sijJu wanamaanisha nini. Ivyo bhasa kma ushawai kufany hili jambo naomb tusidizanane jamni
Leo bhana nimekuja kwenye jukwaa langu pebwa la.connection za biashara. Nakilicho nileta hapa niswala moja moja kama sio mawili
(A) Ni namna gani ntaweza kupata soko la.mazao ya chakula katika visiwa vya commoro
(B) Kama kuna member ambaye anafanya biashara.katika visiwa ivyo naomba...
namboa kujua kupia members nikampunia gania nweza nikaitumia kusafirisha mizigo yangu kutoka uingereza kuja tanzania na mizigo yangu ikanifikia salama salmin bila porojo porojo
sorry me naomba kuku uliza katika biahara ya kuku ulio kuwa ukiifanya nichangamoto gani ulizokutananazo na zikakufanya huachane na biashara iyo ndugu nakama uko tayali tunaweza zungumza 0625826352
Natumaini wote mko salama,
Kama heading unavyo jieleza na picha Kuku hawa waliuwa niwazima ila siku za hivi karibuni wameleanza kuvimba macho. Na kuhusu swala la chanjo wote wamesha pata.
Naomba ushauri wa Kitaalamu na wa kiuzoefu kwa wote ambao wamewahi kupatwa na changamoto kama hii
Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.