Alikua ni raia wa Marekani alizaliwa 18/5/1889 nchini Marekani. Alizaliwa akiwa na miguu mitatu na yote ilikua inafanya kazi alizaliwa akiwa na sehemu za siri za kiume mbili (2)
Shemu za siri za Kiume mbili na zote zilikua zinafanya kazi na alikua na jumla ya vidole kumi na sita (16) na...
Ndugu wanaJF,
Kama mnavyotambua kuwa kuna desturi ya makabila yanayopakana kuwa na utani au kuitana watani. Desturi hii imejenga ukaribu na ujirani mwema baina ya makabila husika.
Mfano: Wahaya huwaita Wajita watani wao (Sijajua ni kutokana na wote kuishi pembezoni mwa ziwa au vp). Wachaga na...
Dar es Salaam. Usajili wa taarifa za watu kwa mfumo wa kidigitali, umeanza kuibua wasiwasi wa usalama wa taarifa binafsi, hivyo kuibua hoja ya umuhimu wa kuwapo sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi na faragha nchini.
Hoja ya kutungwa kwa sheria ya aina hiyo, imepata nguvu hasa baada ya uamuzi wa...
Mnamo Jumanne ya Tarehe 11 mwezi huu (Februari 2020) nilinunua kifurushi cha Internet kwa njia ya Tigo Pesa. Ndugu zangu wana JamiiForums yakapita masaa 24 bila ya kupewa kifurushi wala kupewa taarifa yoyote.
Nilichukua hatua ya kuwapigia Huduma kwa Wateja, nikajibiwa kifurushi changu...
Mmilikiwa Kampuni ya Facebook inayoendesha Mitandao ya Kijamii ya Facebook, Instagram, WhatsApp na Messenger, Mark Zuckerberg majira kama haya mwaka 2019 aliandika barua ya wazi akitoa wito sheria ziwekwe ili kufuatilia taarifa za intaneti (Data Protection).
Katika waraka wake wazi...
Kampuni hiyo inayotuhumiwa kwa uhujuju uchumi na kuwanyanyasa wafanyakazi wazawa baada ya kubaini kuwa mzigo wao wenye label zenye kuonesha umezalishwa nchini Kenya kujulikana walianza mchakato wa kuhamishia shehena hiyo kwenye moja ya maghala yao yaliyotok Shekilango Jijini Dar es Salaam...
Kiwanda cha kutengeneza marumaru cha Twayford kilichopo Chalinze Mkoani Pwani kinatuhumiwa kwekwepa kodi kwa kutumia nembo inayoonesha bidhaa zake za Marumaru zimetengenezwa nchini Kenya ilihali katika uhalisia zinatengenezwa hapa hapa nchini
Angalia ushahidi huu katika picha
Taarifa na...
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limelazimika kutumia mabomu kuwatawanya wanafunzi wa shule ya sekondari Majengo baada ya kugoma kuingia madarasani kwa kile walichodai ni kudhalilishwa kingono na kuchaniwa nguo na walimu wao.
Hatua hiyo imekuja mara baada ya wanafunzi hao kugoma kuingia...
Ajali mbaya imetokea usiku huu eneo la Nyangoye Hamugembe -Bukoba likihusisha gari aina ya Toyota Hiace na Gari kubwa aina ya Fuso
Kupitua uzi huu nitakujuza taarifa rasmi za majeruhi na vifo
======
Ajali mbaya imetokea usiku huu eneo la Nyangoye Mkoani Kagera ambapo inaripotiwa kuwa Watu...
Leo 07 Februari 2019
Akiwa katika ziara ya Kata kwa kata ya uhuishaji wa hai wa Chama na ukaguzi wa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi Mkuu ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020 Mkoa wa Arusha, Wilaya ya Arusha Mjini katika Kata za Engutoto, Lemara, Muriet, Terrat, Olasiti na Osunyai Ndg. Humphrey Polepole...
Kampuni hiyo iliyojizoela umaarufu kwa kutengeneza magari yanayotumia nishati ya umeme na jua, Tesla yasema inakabiriwa na hali ngumu mbeleni
Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo, Elon Musk kupitia barua pepe aliyowaandikia Wafanyakazi amesema kuwa njia wanayoinendea ni ngumu
Kampuni hiyo imetabiriwa...
Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Hamisi Kigwangalla ameivunja Bodi ya Wakurugenzi ya TTB, kwa madai ya kutotangaza vizuri vivutio vya utalii nchini.
Waziri wa Utalii Dk Hamis Kigwangalla ametoa miezi 3 kwa menejimenti ya TTB kurekebisha dosari walizonazo kinyume na hapo ataifumua na kuisuka...
At least 20 people have been killed in a car bomb attack in the Colombian capital of Bogotá, police say.
Dozens more were injured in the blast which happened at 09:30 (14:30 GMT) on Thursday in the south of the city. The car's driver, who was also killed, has been identified as a 57-year-old...
WANAFUNZI 2,610 kati ya 8,038 waliochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza kwa mwaka huu katika Halmashauri ya jiji la Dodoma, wameshindwa kujiunga kutokana na upungufu wa vyumba vya madarasa.
Hayo yalibainishwa juzi kabla ya kuanza kwa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Binilith...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu Jones Moshi na James Gatuni, kulipa faini ya Sh milioni 204 au kwenda jela miaka saba kwa kosa la kuendesha biashara ya upatu na utakatishaji fedha.
Waliohukumiwa ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Rifaro Africa Ltd, Jones Moshi (42) mkazi wa Mbezi Beach Dar...
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kibondo mkoani hapa, imekamata nguo zinazofanana za sare za kijeshi katika makambi ya wakimbizi.
Akizungumza na waandishi na kamati hiyo mjini hapa leo Alhamisi Januari 10, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Samson Hanga, amesema nguo hizo zilikamatwa...
Habari wanaJF,
Nimepata taarifa kuwa Mtu mmoja amejirusha kutoka Ghorofa ya 5 pale Hospitali ya BUGANDO na kufariki hapo hapo.
Tukio hilo limetokea jioni hii, lakini sababu za mtu huyo kujiua hazijajulikana.
TAARIFA YA UKARABATI WA MASHINE KITUO CHA KUFUA UMEME KWA GESI CHA UBUNGO II
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa kuanzia Januari 9, 2019 hadi Februari 13, 2019 utafanyika ukarabati kwenye mitambo ya kuzalisha umeme ya kituo cha Ubungo II.
Ukarabati huo utahusisha...
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewaomba wadau mbalimbali wa amani kuendelea kutoa ushirikiano kwa Jeshi ili kuendeleza hali ya ushwari iliyopo sasa katika Jiji la Dar es Salaam.
> Tunaendelea kuwatahadharisha wazazi katika kipindi hiki cha sikukuu kila mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.