Me naona kandolo amekurupuka ni hivi karibuni watu wamepoteza mitaji kwa masoko matatu kuungua moto na hawajalipwa fidia wala kujengewa vibanda. Soko linalojengwa hata halija kamilika alaf unataka kuwaondoa vijana waende wapi? au unataka vijana waje watupige roba mitaani wakati wewe upo ndani ya...
Mazengo kulikuwa na fangas za mapumbu tulikuwa tunaita pumbu erosion. Zilikuwa zinawasha balaa. Alaf nyuka na gima ni balaa kwa watu wa kanda ya ziwa! umenikumbusha mbali sana.
Huyu aliepost ni mnafiki kwani hajui ukweli ulivyo na anakurupuka. Dc msome amepigania bei ya maji bila kuchoka mpaka ewura wamemuelewa na kukubali kupunguza gharama mpya. Meneja wa mamlaka ya maji ameambiwa aandbe upya bajeti yake ili ewura iweze kupunguza bei kwani walishapanga mipango ya...
Usiumize kichwa we mfungulie mlango, muonyeshe njia aanze safari! usihangaike nae kwani siku hizi maisha ni kusaka mahela huyo atakupotezea muda. Kama ataona umuhim wa ndoa baada ya kutafakari basi mruhusu ajieleze nini kasoro isiyotatulika!
Kuna mzee mmoja amedai kuwa amechoshwa na tabia ya mke wake ya kudekeza watoto mpaka wanataka kuharibika.
Amesema anakelwa na mengi toka kwa wife wake hadi kuna siku aliamua kuchukua cheti cha ndoa na kuangalia kama kina expire date.
Hivi inawezekana kuweka exp date kwenye ndoa?
Jamaa yangu mmoja alikuwa akimfuatilia dem wamtaani kwetu pale kilimani dom, siku moja tulikwenda nyumbani kwao na dem bahati akatoka mama yake alikuwa ni jaji pale dodoma kwa kuzuga ilibidi tununue spinachi na mchicha wa mia mbili tukaondoka. Tulilaani kweli maana haikuwa kwenye bajeti na zile...
Nakumbuka nikiwa mazengo msingi kuna dem alimtolea nje kaka angu, basi me nikamuandika barua ya kumtukana alaf nikamchora picha wana mdu. Basi yule dada akaipeleka kesi kwa walimu. Nikaitwa ofisini kwanza wakanionyesha barua nikakili kuwa ni mimi, kilichofuata ni nilitandikwa fimbo na walimu...
Hiyo ni iman ya mtu hata angekuwa mlugulu angeibusu tu iyo pete. Usije ukawa unaleta na chuki kwa waroma maana mnasema mengi utadhani nyie ni watakatifu!
Haina shida tena wamama hupenda sana ku do wakiwa wajawazito na joto lao tamu sana. Zingatia mikao pia husaidia kutanua njia anapokaribia kujifungua. We piga game tu.
Naomba msaada kwa mtu anaejua namna ya kupata chanel nzuri za muvi na mpira kwa kutumia decoda za free chanel. Decoda nayotumia ni mediacom. Kwa muda mrefu tulikuwa tunapata etv, muvi tv, aljazeera na chanel za msumbiji, lakini kwa sasa hatupati tena zimebaki chanel za dini na za hapa tz.
Aibu ya nini jamani? kwani mnataka umeme umkatikie nani! hao wabunge wapo kwenye casino hilo hawana shida ila sisi tunaotegemea tuonyoe ili tule, tuchomelee ili tule nk ndo tujihurumie. Shame on gvt!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.