Habari za jioni wanafamilia.
Ni vizuri tukapata takwimu ya matukio yanayoendelea kutokea duniani papo kwa papo
Mpaka sasa idadi ya watu duniani ni zaidi ya bilioni 7.5,zaidi ya watu bilioni 3.68 wametumia internet katika matumizi mbalimbali kwa siku ya leo na idadi inaongezeka,
Sigara...
Habari za asubuhi.
Kukosolewa ni njia moja wapo ambayo viongozi na watoa huduma wengi duniani huitumia kama njia moja wapo ya kujitathimini na kuboresha huduma zao.
Kuna mtu mwingine akikosolewa anakaa kimya,anatathimini na anafanyia kazi kimya kimya watu wanaona matunda kupitia matendo...
Habari wana JF
Moja kati ya vitu vinavyo athiri mafanikio ya mtu ni mahusiano ya kimapenzi aliyonayo,ndo mana tunashauriwa kabla hujachagua chunguza kwanza.
Inavosemekana kuna mtu flani ukiwa nae hata kama mnapenda sana inapokuja kwenye swala la mafanikio inakua ni tofauti hata kama...
Habari wana jamvi
Moja kati ya vitu vizuri hapa duniani ni kupewa sifa especially na mtu wa karibu yako sana maana huongeza ujasiri na mapenzi zaidi.
Kama upo katika mahusiano basi mtu wako wa karibu zaidi atakua ni huyo mpenzi wako sababu ni karibu mnachangia kila kitu katika maisha yenu na...
Habari za weekend wakuu,
Kwa jiji la DSM sijui kwa mikoa mingine kuanzia mida ya sa 10 jioni zaidi kwenye vituo vya daladala biashara ya pweza ndo inaanza kupamba moto.
Imezoeleka wateja wa kubwa wa pweza ni wanaume na mara nyingi ndio wanao onekana wakinunua but siku hizi naona...
Habari wana jamvi,
Kuna watu wanaamini unaweza ukamtumia mwanamke Milion 1 kushinda vita ya dunia, ikiaminika kwamba mwanamke ana mbinu za ajabu sana ktk kufanikisha jambo.
Kuna vijistori nilivyobahatika kuvisoma kama Samson mwanaume wa shoka mwenye miraba minne na aliyesumbua sana maelfu ya...
Habari wana JF
Matumizi ya kila siku ya kikombe kimoja cha chai chenye mchanganyiko wa tangawizi(ya unga au kawaida),mlonge(unga) kijiko kimoja,unga wa mbegu za tikiti maji huku nikitumia asali badala ya sukari ndo vimenifanya niwe na ubora wa hali ya juu katika tendo la ndoa. Inatibu tatizo...
Habari wakuu
Yani hizi ndo ninazoota kipindi hiki cha Mr Solex ni za ajabu,mara naota nakimbizwa na nyoka anakonda,mara naota naanguka kwenye shimo kubwa lenye giza,mara naota Tanzania watu wote wamekufa na njaa.
Jamani muheshimiwa rais punguza makali nisije nikaota...[emoji83]...
Habari wakuu
Mwanaume akimpa mwanafunzi mimba anafungwa miaka 30 kama sijakosea.
Ikitokea mwanafunzi kampa mwanafunzi mimba kuna haja ya kufungua kesi ?
Mana ni sawa mbwa kala mbwa mwenzake
Habari Jf
Hakika timu za england zinatakiwa kujifunza sana kutoka kwa timu za Spain mana walichoshindwa kukifanya arsenal ndicho walichoweza kukifanya barca,walicheza kwa hari na lengo moja tofauti na arsenal ambao walikua kituko.
Uko wapi ubora wa timu za england ambao washabiki wake...
Habari wakuu
Tukumbushane kidogo vijimbinu tulivotumia kupata wapenzi tulio nao,ikibidi na sehemu uliyomuona siku ya kwanza.
Mimi wa kwangu nili.....[emoji12] [emoji12] [emoji12] A level
Habari wana JF
Kila mtu anapenda kuona uchumi wake unakua siku baada ya siku na ndiyo mana watu wanafanya kazi usiku na mchana(walio jiajiri na walio ajiriwa) ili kujikwamua kiuchumi,lakini unakuta walio wengi wanapiga hatua kidoga sana tofauti na nguvu kubwa wanayowekeza ktk kufanya kazi...
Habari JF,
Asilimia kubwa ya wanawake pale wanapokua wanajitetea aidha wakiwa au hawana makosa au pengine wakati wanapigania haki zao wanakua wanalia mfano mzuri ni yule mama wa Tanga aliyekua anaongea mbele ya rais kuhusu kudhulumiwa mirathi na hata katika mahusiano ya kimapenzi, ukitofautiana...
Habari za muda huu wana JF
Kama kichwa cha habari kinavosomeka,
Kwa ndugu,jamaa na marafiki kukopeshana ni jambo la kawaida sana ktk jamii zetu ili kuweza kuendesha maisha yetu.
Je
1 Hata watu ambao wapo ktk mahusiano ya kimapenzi,iwe ni wanandoa au ambao hawajafunga ndoa nao wanakopeshana?
2...
Habari za muda huu wana JF, poleni na majukumu ya hapa na pale.
Naheshimu sana walioanzisha au gundua condom ila kwa mtazamo wangu kama mtu unafanya nae ngono kwa kutumia condom ujue huyo mtu hukupaswa kufanya nae maana kama kila mtu ana muamini mwenzake condom ni ya nini?
Nawasilisha
Habari za muda huu wakuu,
Poleni na majukumu ya kujenga taifa letu.
Mtazamo wangu katika kutokomeza ukahaba Tanzania ni kuzuia utengenezaji na uingiaji wa condom mana silaha kubwa ya kahaba ni condom.
Hii si kwamba itasaidia kutokomeza ukahaba bali hata ngono zitapungua sana.
Nawasilisha
Habari za muda huu wakuu,
Poleni na majukumu ya kujenga taifa letu.
Mtazamo wangu katika kutokomeza ukahaba Tanzania ni kuzuia utengenezaji na uingiaji wa condom mana silaha kubwa ya kahaba ni condom.
Hii si kwamba itasaidia kutokomeza ukahaba bali hata ngono zitapungua sana.
Nawasilisha
Habari za muda huu wakuu
Kuna dada ambaye ni rafiki wa karibu wa my sister,ni mrembo kiasi chake, ana kipato kizuri tu na ni mlokole pia.
Aliolewa na mwanaume ambae naye pia yupo vzr kiuchumi na walifanya harusi kubwa sana,km mnavojua walokole hawarusu kufanya tendo la ndoa kabla ya kufunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.