Leo Jimapili kutakuwa na mkutano wa hadhara wa CHADEMA utakaohutubiwa na mbunge wa Arusha mjini Godbles lema akiwa na Salum Mwalimu.Mojawapo ya ajenda za leo ni kuwashukuru wananchi kwa kuchagua UKAWA katika uchaguzi wa serikari za mitaa na kutoa pole kwa kifo cha Mwanachadema aliyepigwa risasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.