Mimi ni mfanyakazi kwenye kampuni binafsi
Nalipwa 5500 - 7000 kwa siku. Hakuna kiwango maalumu cha mshahara.
Tunalipwa kila baada ya wiki mbili.
Kwa muda wote ambao tunafanya kazi zaidi ya mwaka sasa hatuna mikataba ya kazi.
Kiufupi masilahi ya wafanyakazi hazingatiwi kabisa hapa kazini...
Uhuru wa kufikiri na fikra huru
Hebu ONA "Jasmini anasema kuwa baba yake ni katili.
Huo ni Uhuru wa kufikiri wa Jasmini
Je watoto wengine wanaPokeaje maoni ya Jasmini.kuhusu baba yao
Wana hiari ya Kukubaliana na Jasmini ama kuwa na maoni tofauti kuhusu baba yao kadri wamjuavyo na asili ya...
Jamani nipo hapa moshi kwa Shughuki zangu.
jumapili ya Leo nikaMua nijichanganye kidogo KITAA nipate moja mbili na vijana wa hapa.
Nikiwa kijiweni ndio nikapata habari za JEMBE
IPO HIVI
VijAna wengi mjini hapa wamejikita kwenye sekta ya utalii.
Na wengi ni ma Porter
Potters
Hili ni kundi...
“NILIPOKUWA na umri wa miaka 13, dada ya rafiki yangu mkubwa alitualika nyumbani kwao jioni moja. Kila mtu akaanza kuvuta bangi. Mwanzoni, nilikataa, lakini mwishowe nilionja baada ya kusihiwa mara kadhaa nijaribu.” Hivyo ndivyo, Michael, kutoka Afrika Kusini alivyosimulia jinsi alivyoanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.