Search results

  1. mwaminifuhalisi

    Uzi maalumu kwa ajili ya kujifunza namna ya kutengeneza Android Apps

    Katika thread hii tutajifunza namna ya kutengeneza application za Android "from the scratch", Japokuwa kuna "platforms" mbalimbali mtandaoni ambazo zinaweza kumsaidia mtu yoyote kuunda apps hata pasipo kuwa na ujuzi wowote kuhusu programming, hapa itakuwa ni tofauti. Imani yangu wale wote ambao...
  2. mwaminifuhalisi

    Kwa wanaotaka kujifunza udukuzi, Ni rahisi kudukua tovuti za serikali ya tz kwa kutumia kali linux

    Leo nilikuwa najaribu kutembelea baadhi ya tovuti za serikali na moja ya tovuti ambayo nilitembelea ni tovuti ya utumishi wa uma, nilichokutana nacho huwezi amini kama hii tovuti inamilikiwa na serikali jinsi ilivyo uchi kwanza, kwani haipo secure kabisa. Ukiangalia hiyo picha maana yake ni...
  3. mwaminifuhalisi

    Trump: Kim Jung Un ni kijana muelevu.

    Akiongea na kituo cha CBS trump alisema japokuwa Kim alipata madaraka akiwa na umri mdogo lakini aliweza kupigana na watu wagumu. "Watu wanasema ni mwendawazimu ... Sifahamu hilo lakini alikuwa ni kijana mdogo wa miaka 26 au 27 pale baba yake alipofariki na Nina uhakika ameweza kupambana na watu...
  4. mwaminifuhalisi

    Trump aitoa iraq kwenye list ya nchi zilizozuiliwa raia wake kuingia USA

    Baada ya amri yake ya awali kugonga mwamba trump amepitia upya na kuja na order ambayo kwa sasa alisaini akiwa private na si kwenye public kama ilivyokuwa awali. Nchi za Iran, Somalia, Sudan, Yemen, Syria and Libya Raia wake watazuiliwa kupewa viza kwa siku 90 wakati wanausalama wakitafuta...
  5. mwaminifuhalisi

    Utata wa picha za anga na kutoonekana kwa nyota

    Picha nyingi ambazo zimepigwa angani na satellite, nyota huwa hazionekani, lakini kwa mujibu wa wataalamu wa maswala ya anga hudai kwamba hapa duniani tunaweza kuona nyota chache sana kutokana na pollution, na zinaweza kuonekana vizuri sana maeneo kama vijijini ambapo pollution ni ndogo, lakini...
  6. mwaminifuhalisi

    Binadamu wawili kupelekwa mwezini tena mwaka 2018 na kampuni ya SpaceX

    Baada ya kupita kipindi kirefu tangu mwanadamu alipotua mwezini, kampuni ya spaceX jumatatu ya tarehe 27/2/2017 imetangaza kupitia kwa muasisi wake Elon Musk kuwa itafanya trip ya kibinifasi kwa watu wawili mwaka 2018 mwezini. Kampuni hiyo ya maswala ya anga itatumia rocket aina ya "Falcon...
  7. mwaminifuhalisi

    Mwananchi afukuzwa kijijini kwa kile kinachodhaniwa kuwa ni chuma ulete

    Wakati tukiwa katika ulimwengu wa sayansi na teknolojia, bado imani za kishirikina zimeendelea kuchukua nafasi kubwa kwani wananchi wa kijiji cha Ilasilo wilayani Songwe kwenye mkutano uliohudhuriwa na mwenyekiti na polisi wamemfurusha mwanakijiji mwenzao kwa tuhuma za kujihusisha na kazi ya...
  8. mwaminifuhalisi

    Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

    Katika thread hii tutaelimishana changamoto, faida, misaada na mambo mbalimbali yanayohusiana mifumo endeshi ya kompyuta na vifaa vingine vinavyotumia linux. Utangulizi Linux ni mfumo endeshi wa kompyuta ulio na asili ya ule uliokuwa unaitwa UNIX, kwa mara ya kwanza Linux iliundwa na...
  9. mwaminifuhalisi

    Mambo makubwa unayoweza faidika nayo ukiwa na VLC media player.

    Kufanya Livestreaming kutoka kwenye kompyuta yako kwenda kompyuta nyingine au simu(smartphone) Kama unatazama video au unasikiliza audio kupitia vlc basi unaweza fanya vifaa vya watu wengine kama simu au kompyuta zingine kuweza kuona mubashara kabisa kile ambacho unakitazama, ili uweze...
Back
Top Bottom