KWANINI MAFISADI WOTE HUTOKEA KASKAZINI,NYANDA ZA JUU NA SIO PWANI?
1) Jee huko maadili yamekuwa mabaya
2)Wajanja sana na wanajua matumizi tofauti na viongozi wa mikoa ya pwani?
Naomba michango ya kifikira, mawazo na hata ushirikiano kuondoa Ufisadi Kisiwani Mafia.
kubwa nitajenga base kubwa kwa kutumia vijana kulikomboa jimbo na ufisadi wa Mh Bulj na maofisa wengine.
Masikitiko makubwa yapo kwa wakazi wa kaskazini mwa kisiwa Cha mafia.
wanasikitika eti mbunge wao anayarudisha nyuma makusudi maendeleo yao hasa ktk swala zima la Elimu.
1)PALE Kirongwe. Shule ya Sekondari haina walimu, haina umeme na haina maabara lakn huko kwao Kitomondo shule imejaa walimu ...
Natangaza nia ya kugombea ubunge Jimbo maskini liliopo kisiwani Mafia.
Matatizo.
HAKUNA BARABARA.
SHULE MATOKEO MABOVU KIDATO CHA 4
UVUVU. WANANCHI WAHANGA NA MIRADI YA KIFISADI.
BARA BARA. Ufisadi wa kukarabati kwa kutumia matope huku fedha zikiliwa
AFYA. Hali mbaya.
NIA NI KUWAKOMBOA WANANCHI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.