tatizolipo kwa serikal mtu akitaka kuanzisha project flani ndio wanaanza kukusanya kodi vizuri ndio maana uwekezaji kwetu ni shida na utaendelea kua shida mpaka tufe kizaz chote maoni yangu mtanzania akianzisha project ifuatiliwe mpaka itakapoanza tengeneza profity ndio waanzishe kodi zao zote
Naomba ufanyeutafiti wa matumizi ya kitunguu swaumu kunasehemu nilisoma kuwa kinasaidia nadhani kwakumeza punje atamoja nakutafunapia...em jaribu kufatilia utanishukuru japo kwakusema asantee tu sawa
ukitaka kujiua au kufa mapema waonee huruma wanawake...bro vip ukiambiwa mtoto sio wako naushajenga fikra zahuruma pole kaka presha inakukaribia kabisa yani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.