Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Mwigulu Nchemba, Naomba kutoa ushauri wangu kwenye ushuru wa magari.
Nimeona ushuru wa magari unazidi kuongezeka, Mhe Rais/Waziri wa fedha dunia inabadilika kwa haraka sana, Magari ya kutumia umeme EV yanakuja kwa haraka sana na ni jambo lisilozuilika kwa...
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Najua upo kwenye kipindi cha kusoma mchezo wa DP world na reactions za watanzania. Hilo sitaliongelea kwa sababu limepata wadau wengi sana wa kujadili na mimi nawaunga mkono wote wanaosema UWEKEZAJI WA BANDARI NI SAWA KABISA NA MUHIMU MNO KWA KARNE HII ILA...
Heshima yako Rais wangu Samia. Mimi ni mmoja wa Watanzania wasiokupinga wala kukubali sana nipo 50/50 kwa sababu nakuona kama Rais mwema, msikivu, mwenye hekima, una diplomasia nzuri sana ya kimataifa.
Kwenye uwekezaji wa Royal Tour nia njema nilikupa 100% utekelezaji unahitaji maboresho kidogo...
1. Watanzania wenzangu naomba tushauriane kuhusu hichi kitu kinachoitwa BBT ? 4. Kilimo
JE KILIMO NI UTI WA MGONGO WA NCHI YETU? - Ndio , watu wote milioni 61 tunategemea kilimo kutulisha nafaka, mboga mboga, protein na matunda.
2. Kilimo kinatupa malighafi za viwanda vingi vya msingi.
3...
Wajuzi na wazoefu wa kilimo nataka kununua tractor la kulimia liwe multipurpose kwa kulimia knye mashamba ya mpunga ludewa na mbarali lakini pia kwa kilimo cha mahindi vwawa . Nasikia massey ni imara sana na spea ni bei rahisi na life span yake ni ndefu ila new holland td 82 naona kama lina...
Za asubuhi wenzangu watanzania?
Naomba nianze kwa salamu za majonzi kwa kuomboleza vifo viwili wiki hiii cha katibu wa CHADEMA Hananasifu na huyu mwanafunzi aliyeuwawa jana, Poleni sana wafiwa.
Mheshimiwa Rais nina maswali huwa najiuliza?
Je, Rais unataka kuogopwa kwa nini? Kuna vitu unaogopa...
Wanabodi , Bila kujali itikadi zetu za siasa kwa mwendelezo wa matamko na matendo ya baadhi ya viongozi napenda kuwapa ushauri na kuwakumbusha kidogo baadhi ya wenzao ambao walikuwa na kauli nzito nzito na majivuno balaa lakini kibao kimegeuka wamekuwa wapole na wanyonge balaaa bila kutegemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.