Search results

  1. G

    SoC01 Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania

    Chakula ni fahari ya jamii yeyote na nchi yeyote dunia. Ni moja ya utambulisho muhimu wa Tamaduni ya Jamii flani na nchi kwa ujumla. Hivi karibuni nchini kwetu tumeshuhudia Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akishiriki kutengeneza Filamu maalumu na mahsusi kabisa kwa ajili ya kuonesha...
  2. G

    SoC01 Proposed Skills Development Incubation Program Within Universities In Tanzania

    Thank you for reading and voting for this incredible idea which can change our education system and quality for better. If you have not voted, please do so now, support this idea and be part of bringing changes in the quality of education provided in our universities.
  3. G

    SoC01 Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania

    Nawashukuru Wote mnaoendelea kuunga mkopo wazo hili na kulipigia kura, naomba wale ambao bado hawajslipigia kura walipigie kura wazo hili, kwani ushindi wa wazo hili ni kulisukuma mbele na kulipa nguvu katika vyombo vya maamuzi vya kiserikali ili liweze kuleta mabadiliko chanya katika nchi yetu...
  4. G

    SoC01 Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania

    Mpango wa Serikali na shabaha ya serikali ni kufikia mwaka 2025, kama nchi tuwe tunapokea watalii Million Tano kwa mwaka kuja kutembelea nchi yetu. Ikiwa hatutaongeza vivutio na tukabaki tukitegemea utalii wa mbuga na milima peke yake hatutaweza kufikia shabaha hii iliyo na manufaa mengi kwa...
  5. G

    SoC01 Proposed Skills Development Incubation Program Within Universities In Tanzania

    Our education system must be the one that liberates us from slavery mentality and nurture creativity. Our universities must be a place of hope and innovations, our government has a great responsibility to redeem the time and resources used in enabling students throughout university by ensuring...
  6. G

    SoC01 Proposed Skills Development Incubation Program Within Universities In Tanzania

    Our education system must be the one that liberates us from slavery mentality and nurture creativity. Our universities must be a place of hope and innovations, our government has a great responsibility to redeem the time and resources used in enabling students throughout university by ensuring...
  7. G

    SoC01 Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania

    Jambo lolote huanzia katika mawazo, na mawazo bora ndio huleta mabadiliko chanya katika jamii. Karibu katika kutafakari na mimi wazo hii kwa mazingir yetu, Usisahau kunipigia kura. Kura yako ni muhimu kwangu na naithamini sana🙏💯
  8. G

    SoC01 Proposed Skills Development Incubation Program Within Universities In Tanzania

    I welcome you to read my other article https://www.jamiiforums.com/threads/maonesho-ya-vyakula-vya-asili-fursa-mpya-ya-uutalii-tanzania.1900803/ Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya uUtalii Tanzania
  9. G

    SoC01 Proposed Skills Development Incubation Program Within Universities In Tanzania

    Your observation is well welcomed. Thank you for your endorsement. 🙏
  10. G

    SoC01 Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania

    Angalia kiambatanisho hiki kaka kujua namna ya kupiga kura
  11. G

    SoC01 Proposed Skills Development Incubation Program Within Universities In Tanzania

    Hakika litatafsiriwa, kwa sasa nipe kura yako.. kwa wakati sahihi litatafsiriwa kaka. Pia soma na https://www.jamiiforums.com/threads/maonesho-ya-vyakula-vya-asili-fursa-mpya-ya-uutalii-tanzania.1900803/ Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania Ulipigia na kura pia
  12. G

    SoC01 Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania

    Lets share Andiko hili kwa wingi sana wadau, kura yako pia ni ya muhimu sana and much appreciated 🙏
  13. G

    SoC01 Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania

    Nashukuru sana Mdau... Tujenge nchi yetu [emoji817][emoji123]
  14. G

    SoC01 Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania

    nakubaliana na wewe nyama choma festival ilikuwa idea nzuri, ila ni tofauti na hii idea nayozungumzia hapa in term of Approach na management, tunayo fursa kubwa sana hapa kama nchi kitalii. naomba kura yako mkuu
  15. G

    SoC01 Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania

    KARIBUNI TUJADILI HUU UZI WADAU, msisahau kunipigia kura
  16. G

    SoC01 Proposed Skills Development Incubation Program Within Universities In Tanzania

    Can anyone imagine how many students graduate Universities and go back homes with full of books and hand-outs in their heads but with no any idea neither skills of how to fight the poverty in their societies, and set up businesses? WE DON’T NEED CAPITAL TO THINK It is good to know that no one...
  17. G

    SoC01 Maonesho ya vyakula vya asili fursa mpya ya Utalii Tanzania

    Utalii ni shughuli ya kibinadamu inayohusisha watu kusafiri kutoka eneo moja kwenda eneo lingine kwa shughuli mahsusi ikiwemo, mapumziko na starehe, biashara, mikutano au matukio mengine yeyote kwa kipindi kisichozidi mwaka mmoja. Sekta ya utalii inachangia kiasi kikubwa katika maendeleo ya...
  18. G

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Too Much, Huruma huzaa dhambi, Dhambi huzaa mauti.
Back
Top Bottom