Mahusiano.
TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii...
Kama utelezi unapata kwa mabinti sasa dadapoa wa nini?
Kwani dada poa ukinunua ndo umepata mke? Au we unaenda kununua dadapoa awe mke sio trip ya data to day?
Chuon nilikutana na jamaa mmoja kutoka rombo, alinishangaza sana, alikuwa na vyeti vingi mno. Jamaa alikuwa amesoma mambo mengi lakini bado alikuwa anakomaa na course work kinoma.
Nyumbani kwao maisha safi, na mama yake alimwambia atafute biashar ya kufanya then apewe mtaji atakaotaka lakn...
Take easy, ikiwezekana ungana nao kwenye utani, pengine kabsa jiite mm ndo namtumbo halisi wengine fake tu, ata harufu ya viatu vyangu inatoa harufu ya kiume sio marash ya pemba ya wala urojo.😃😂😂
🙏🙏Asante mkuu Kwa kupaza sauti Yako juu ya hili linaloongeza watu tegemezi kila kukicha.
#1 Ujinga kiukweli unatumaliza na kutufanya tudumu kwenye dimbwi la umaskini. Mjinga mMoja anambebra buku mjinga mwenzake Ili punde tu anapokamatwa Kwa kosa lolote ampatie yeye aendelee na Ujinga wake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.