Naomba Msaada wa kitaalam ninunue simu gani yenye Camera Bora inayotoa picha za viwango Vya hali ya juu na isiyopoteza ubora wa picha haraka.
Lengo kuu ni shughuli za kibiashara ambazo asilimia 98 zinategemea picha. Bajeti sio tatizo maana simu ndio jembe lenyewe linalotupa riziki.
Habarini Wadau wote humu. Naombeni msaada nahitaji kujua simu yenye kamera inayotoa picha Bora zaidi kwa matumizi ya kibiashara. Picha inayoonesha uhalisia wa kitu na mazingira. Ili wateja wakiona picha ya bidhaa na uhalisia uwe hivyo hivyo bila kupoteza ubora.
Nahitaji kwa haraka. Gharama...
Tafadhari hili Shirika limezidi mno kila mara kuahirisha na ndege zao kuchelewa kuondoka bila kutoa sababu za msingi.
Leo reporting time saa 10 alfajiri, kuondoka kuelekea Dodoma saa 11:50 asubuhi. Lakini mpaka muda huu hakuna ndege, kila baada ya nusu saa abiria wakiuliza wanasogeza mbele...
Ndugu wadau naomba kwa wale wenye uelewa juu ya aina hii ya magari, ubora wake, matumizi ya mafuta, na chochote kizuri kuhusiana na magari haya.
Pia naomba kujua mapungufu yake kwa wale wenye uzoefu nayo.
Je, kuna utofauti gani kati ya Toyota alphard "V" na Alphard "G" ingawa kwa macho huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.