Naombeni ushauri gari yangu kwasasa inamaliza maji mara kwa mara tatizo nini wakuu pia ukipiga stata lazima ushikilie kwanza ufunguo kwa muda ndy iwake ukiachia inazima tatizo nimeliona jana tu
Dr Kuna ndugu yangu anatatizo lakuwashwa kwenye maziwa ameenda hospitali akaambiwa nifangasi lakini kila akitumia dawa hali iko palepale je atumie dawa gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.