Search results

  1. A

    KERO: Hospitali ya Muhimbili kitengo cha mifupa (MOI) wagonjwa wanateseka

    Kwako Mh. Naibu waziri wa afya, Dr. Hamis Kigwangala, habari za majukumu natumai unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku ya kutumikia watanzania, mungu aendelee kukupa afya njema na uwajibikaji uliotukuka. Taarifa zilizopo ni kuwa hospital ya MUHIMBILI kitengo cha mifupa (MOI).wagonjwa...
  2. A

    Barua ya wazi kwa serikali hii juu ya ajira kwa vijana

    Ni muda mrefu sasa Tanzania tumekuwa tukipiga sarakasi juu ya suala la ajira kwa vijana tumekuwa tukitengeneza sera nyingi juu ya masuala ya vijana bila kutekelezeka (policy implementation gap) leo Naomba kuweka wazi juu ya uhamnazo tulio nao ndani ya taifa hili na viongozi wake. Kwa mujibu wa...
  3. A

    TSNP: Tumeungana na LHRC kupinga malipo ya asilimia 15

    Mtandao wa wanafunzi Tanzania (TSNP) kupitia kurugenzi yetu ya sheria, kama wahanga watarajiwa, tumeafikiana na mawakili wetu takribani 10, kuungana na mawakili wa kituo cha haki na sheria (LHRC) kwajili ya kwenda mahakamani kupinga malipo ya 15% kwa bodi ya mikopo ambayo awali yalikuwa ni 8%...
  4. A

    Kuhusu Minjingu mining and fertilizer and Bungoma county fertilizers

    sasa hivi kila mtu anajiuliza kwanini Mbolea ya minijingu inayozalishwa na minijingu mines and fertilizers LTD, iliyopo TANZANIA na huzalisha mbolea hiyo kwa kutumia malighafi kutoka kwetu TANZANIA ambayo ni madini ya phosphates yaliyopo manyara.(mgodi). Lakini Jambo la kushangaza hapa ni...
Back
Top Bottom