sipendi aina yako ya siasa ambayo unataka kutuaminisha kua uko sahihi!! kama una pesonal int rests shauri yako sijui mkeo alitoswa! hata sikuelewi mara mkumbo hivi mara sijui lucy nani aaarghh we MALARIA SUGU wa pili
Rizi one ndo aliwapa siku 7 wathibitishe laa sivo angewashitaki MTIKILA A.K.A RAFIKI MZURI WA MAHAKAMA NA DR.SLAA NA MTIKILA AKASEMA ANASUBIRI KUITW kwa hamu kuitwa mahakamani
nilimuonaga maeneo ya kinondoni akanisogelea tukawa tunasalimiana almanusra nizimie maana lile tabasamu na uso wake alivo kama yai lilio ungua, kakomaaaa kama dume la fisi
viti maalum kazi yao kuvaa dhahabu tu mjengoni na unafiki na ushabiki wa kisiasa, wachahe sana wana nidham na busara, lakini kwa trend ya sikuhizi kile kitendo cha kua Magambani basi akili yako inakua kama ya Malaria sugu na mkewe Faiza Foxy
komba anakula kuku wa 2 na hali mbaka ayaone mapaja ma 4 ni family friend wetu so namjua in and out anakunywa mizinga ya konyagi miwili hadi mitatu, na akitaka kuongea bungeni lazima apige simu kwake "jamani niangalieni" akimaliza kuongea anampigia mtoto wake eti "nimeuza sura eeh" ana matusi...
ha ha ha jana mkewe kaenda "kunywa chai ya jioni" na ma first ladies hakika tumeuzwa, tutafanyaje! hukoo kuala lumpur wakati mumewe ana puyanga kula bata za malaysia kabla ya hapo walitokea sychelles, HATAAAAAREE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.