Ni matumaini yangu jukwaa hili Lina watu mbalimbali Wenye ubobezi Katika masuala ya nyanja nyingi.
Binafsi Nahitaji wataalam au washeria, hivyo naomba Kwa yeyote anaeweza kutoa Msaada huo nauhitji sana.
NB: awe anapatikana mwanza au iringa
Wana JF habarini ya Jumapili kwanza,
Niende moja kwa moja kwenye mada..
Je mwanaume kuwa na mahusiano na mwanamke au kuingia kwenye ndoa inaweza kuathiri uchumi wako kuyumba?
Karibuni kwa mchango wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wenye experience, kuna changamoto gani kuoa mke ambae hana kazi wakuuu. Mfano wewe mwanaume unakazi umeajiriwa alafu mke ana elimu yako cheti mfano but kwa fani aliosomea hawezi kuajirika popote kwa usawa huu wa ajira zilivyongumu but nampenda sana nafanyaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dear comrades
Am just new in this city and I feel lonely staying at home after work for real l wish if l could get friends that are hosts, to share and exchange our attitudes and ideas
Friends needed both but women are highly given priority
If interested check me on pm
Rafiki later wife anahitajika
Awe mkristo, umri 22-26!!
Elimu astashahada-stashahada.
Awe muajiriwa au amejisjir.
Asiwe mnene au Mwembamba saizi Ya Kati.. Rangi YA maji YA kunde.. Urefu asiwe mrfu Sanna Wala mfupi san
Mwnye Nia Karibuuuu
Pm
Ndug wana jf naomba kujuzwa kuhusu dawa zuri ambayo inaweza kusaidia kutuliza maumivu ya miguu .. Bimukubwa wangu anasumbuliwa na maumivu ya miguu nimejarkbu kutumja dawa za hosptali pasipo mafanikio lakini naskia kuna watu wataalamu was dawa za pori / mitishamba na zinawasaidia wengj tu hvyo...
CHUO CHA UUGUZI NA UKUNGA _ISIMILA , BOX 2567 IRINGA. REG NO.HAS/131P.
Kinawakaribisha/kinawatangazia waombaji wa kada ya afya ngazi ya cheti kuwa nafasi zipo za kutosha , kwa yeyote angependa kujiunga anakaribishwa kufika chuoni hapo .
Kufuatia utaratibu MPYA wa utumaji maombi unashauriwa...
Easter imenijia vibaya hii duuh , nimetenga kahela kangu ka kula , lakini nomekosa kampany kulingana na mazingira niliyopo kuwa mgeni mgeni zaidi asubuhi nimeamka naumwa daaashhh
But nimeshspata dawa kwa mchana nitakuwa poa wenyeji tukaribishane jamani.. Viwanja vizuri iringa
Samahanini wakuu..
Kuhusu wale waliokuwa wamesimamishwa kazi au walisaini tu mikataba ya kazi na kisha hawakuitwa tena kazini baada ya President kusitisha ajira mpya wiki liliopita kuna baadhi walipigiwa simu na kuahidiwa waende wakasaini na wataitwa kuanza kazi so kwa wale ambao wako upande wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.