Hao ndio Wadanganyika mkuu ambao hawawezi ona, wao wanajifurahisha tu.. Mimi huwa najiuliza siku zote kama CHADEMA imekufa nguvu nyingi zinazotumika kuwazuia kufanya mikutano, matusi ya subwoofer, kuwatumia vibaya polisi katika kuwazuia hawa ni vya nini..
Kiukweli ni ubinafsi wa hali ya juu kuwa na kuwazia wengine mabaya au kuwaombea mabaya kisa tu wametuudhi au hawatendi sawa na yale tuyatamaniyo.. Lazima tuwe watu wa kusamehe ili tuwe na furaha ktk maisha
Atakuwa anaona aibu huyu ni mkazi wa laini.... Maana kama kweli umekaa Nation pale lazima ulikuwa unakatiza laini polisi kwenda town.. Na pia hata kwa mtu anayetaka kwenda Soweto kwa mguu lazima atakatiza pale laini... Polisi na ufugaji wa bata ni damu damu.
Swadakta mkuu Uchaguzi huu ni kwa ajili ya kuwaonesha mabeberu kwamba hat sisi bado tuko kwenye domokrasia na watu wana kikubali sana chama kikongwe na wamechoka na fyama pinga maendeleo na wasio wazalendo. Ndio maana mtu kama mimi bora niendelee kuuza zangu dagaa na sangara nipate ugali kuliko...
Ndio tumeanza na kutokushiriki zoezi la usanii... Ni kweli Chama kikongwe kina wanachama zaidi ya mamilioni na wale mashabiki wao wanafika zaidi ya 20 milioni. Mimi nadhani vikao vya ndani vingetumika kuhamasisha wanachamwao kujiandikisha na kuwaleta wale wanaoshabikia. Hakuna haja ya kupoteza...
Hata miye huku Chato sielewi hawa watu wanataka nini? Maana Rais tunaye tena tunampenda mnoo. Huyu tunaye mpaka huko mbele maana maendeleo tunayaona . Hizi hela za kulipa watu kwenda kujiandikisha na kusimamia hiz shughuli za uchaguzi zingeongezewa kwenye miradi ya maendeleo. Mimi sema sina...
Nimefundishwa Mtu akikuny'ang'anya koti Mpe na shati .Gazeti langu litakuwa na kichwa cha habari......WALIOBOMOLEWA NYUMBA WAISHUKURU SERIKALI KWA MOYO WA UPENDO NA UZALENDO WA KUVUNJA NYUMBA ZAO......
MAHAKAMA YA PONGEZA TANROADS KWA USHUJAA WAKE WA KUVUNJA NYUMBA ZILIZOKO KWENYE ZUIO LA...
Nimefundishwa Mtu akikuny'ang'anya koti Mpe na shati .Gazeti langu litakuwa na kichwa cha habari......WALIOBOMOLEWA NYUMBA WAISHUKURU SERIKALI KWA MOYO WA UPENDO NA UZALENDO WA KUVUNJA NYUMBA ZAO......
MAHAKAMA YA PONGEZA TANROADS KWA USHUJAA WAKE WA KUVUNJA NYUMBA ZILIZOKO KWENYE ZUIO LA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.