Nimekaa muda bila hata dusko nimepambana wapi ila nimepiga deal langu moja nimevuta kama 10m sasa bila hata kumwambia mtu naona washkaji wananipiga mizinga.
Mademu wa zamani wananitumia msg za kuni miss, ndugu nao wanapigia kila wakati kunisalimia hapa ndio naamini pesa zinanukia aiseee
Habari wadau
Baada ya miaka 4 hajaonana na demu wake jamaa kakutana na Ex wake week moja imepita jamaa alimwandaa demu na kupiga denda kila kitu cha mahaba ila akakumbuka hana kondom ila anatembea na boksi la vipimio vya ukimwi
Basi akastop akamwambia demu wapime demu kakubali wapime wote...
Wadau salama?
Walimu wale tulioajiliwa kipindi cha kampeni za uchaguzi kuna ambaye kaingiziwa pesa za january? Maana Desemba ilikuwa hakuna kitu na january kwangu hakuna kitu afu sina hapa pesa mfukoni hadi natamani nirudi home kwanza nipunguze ukali wa maisha.
Niliomba status yangu 2014 kuanza kulipa deni langu na nikapewa ni Tshs.12M mwezi huo huo nikaanza kulipa cha ajabu mwezi huu nimeenda kuomba status yangu "statement ya deni langu" deni limekuwa kwa Tshs. 2M wakati nishaanza kulipa toka mwaka 2014 nimejua kuwa nimemaliza
Nimeamba wanieleweshe...
Rais Kikwete Alikataa Kupokea Zawadi Ya Dhahabu Kutoka Kwa Kampuni Ya Nyamigogo (GVH) Ya Mkoani Geita Gramu 227 Ikiwa Na Thamani Ya Tsh. 16 Milioni Katika Soko La Dunia Kwa Wakati Huo Mwaka 2013. Dkt. Kikwete Aliagiza Dhahabu Hiyo Iuzwe Na Fedha Zake Zisaidie Watoto Yatima.
Taarifa Ya Ikulu Ya...
Habari zenu wadau?
Ni jinsi gani unaweza kuzuia mtu asiweze kudukua simu yako au aka ku track mienendo yako katika mitandao, yaani kama mtu anataka kuwa Ghost katika mitandao na katika simu yake au computer yake.
Nyie wanawake nimenyoosha mikono mtu anakupa kila kitu anapiga mashine kwa kusimamia kucha kama hana akili ila bado mnasaliti dah naomba niwape heshima kwenu nyie viumbe wakipekee
Ripoti ya Amnesty International
Kwa mujibu wa shirika la Amnesty International Kenya na Tanzania zimetajwa katika jumla ya nchi za kiafrika ambazo zimekuwa mstari wa mbele kuwakandamiza wapinzani na kunyongesha uhuru wa kujielezea.
Shirika la kimataifa la haki za binadamu, Amnesty...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.