Poleni sana kwa msiba. Lakini kifo heshima ya yake ni mazishi. Imetokea zika. Kingine walimu ni vichaa sana walimu wengi shule za msingi za serikali ni walevi na wanavuta bangi na utoto. Ndio hao wakiwa wanakunywa chai wanaongea ujinga ujinga wa kuchapa watoto. Haki ya maiti ni maziko tu mengine...
Uzi mzuri sana nijifunza mengi. Cha ziada tu mwandishi kingereza chake kirefu na rasmi sana kama lugha ya wanasheria. Anahitaji kutumia kingereza cha kawaida kama kilivyo kiswahili chake
TCRA wamekurupuka. Cha kwanza wanajua kuwa hakuna elimu yoyote ya kidini inayotambuka serikalini. Msingi kwa nini serikali haitambui hizo taaluma ni kwa sababu ni za kufikirika.
Cha pili, ni TCRA haohao na serikali ndio wamelakubali maudhui ya kidini ya enezwe kwa njia ya redio na tv. Kwann...
We miaka yote hyo 17 mbao zote umezimaliza umebakiza mabanzi pekee halafu unaogopa kumwachia upenyo. Huwez kupambana na mtu anayekulisha kaa kwa kutulia atakuua kizembe
Ukimchunguza nyuki hutakula asali. Mwanamke huyo anakushemu sana sasa usimbane mpaka akakuonyesha makucha yake. We mwache aende kokote anakotaka na kama anachepuka jua ameweka heshima sana kutumia huo utaratibu wa kukuaga. Na ye ni binadamu atajirudi tu ila ukidhan unaweza kumdhibiti utakosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.