Itakua maana haiwezekani miezi mi 3 yote wana shindwa kuwapa pesa zao sasa .waliomba account no zao za bank za nini ? Izi ndo zile pesa za mtandaoni unaona una hela kwenye account lakini benki una zero
Mna shida gani na continues walio pata mkopo kwenye Appeal . Hadi leo hamja wapa pesa zao na semester imeisha mfano mdogo vyuo vya Tumaini University makumira..mzumbe Morogoro na DIT mme ishia kuwa andikisha bank statement tu bila update yoyote
Au ndo mchezo mchafu wa baadhi ya wafanya kazi...
Mods mme badilisha heading yangu .Mimi nme ishia kwenye (Mapenzi yanataka kuni changanya ) nyie mme ongezea ya kwenu mbele tena kwa kiswahiĺi kibovu mna taka nini
Story iko hivi nipo kwenye relationship na 4 girls, wa tatu (3) nilikutana nao kipindi kimoja 3 years ago hawajapishana sana miezi kwenye mahusiano na huyu mmoja nimempata 6 month ago kila mmoja nilimpata kwa style yake ,
But tatizo ni kwamba wote nahisi kuwapenda sawa kwa sababu kila mmoja ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.