Katibu mkuu Nchimbi,katibu mwenezi Amosi Makala,Alli Hapi wazazi,na Joketo Mwegelo vijana bado hata robo ya amshaamsha ya MAKONDA hata robo yake hamjamfikia kulikoni?
Mngedoda sana, bahati yenu mnatembelea nyota ya Alli Hapi, mambo yangekuwa magumu sana. Pia style yenu ya utatuzi shida za...
Ndugu Martin Shighela mkuu wa mkoa wa Geita, habari za majukumu,?
Imani yangu utausoma ujumbe huu au utaupata kupitia wasaidizi wako.na nategemea respond ya haraka sana toka kwako Mkuu.
Lengo la waraka huu ni kukufahamisha kwamba kuna uzembe mkubwa kwa baadhi ya idara za serikali hapa mkoani...
Nikwambie Rais Samia ya kwamba January Makamba na management nzima ya Tanesco ndio imesababisha hii adha ya umeme tuliyonayo sasa, kwanini unaona aibu kusema hadharani failure ya waziri na management nzima?
Kama ni suala la kukarabati miundo mbinu,Kulikuwa na haja gani ya kumuondoa mwenyekiti...
Habari mkurugenzi,
Ni matumaini yangu umzima wa afya ukiendelea kuchapa kazi barabara ili kuwaletea wana Geita mjini maendeleo.
Ndugu mkurugenzi husika, kama ada,linapotokea jambo ambalo sisi wananchi wa eneo husika tukiona jambo haliko sawa basi kupitia jukwaa hili hupenda wewe ulifahamu na...
Inasikitisha sana, watanzania tutumie nguvu kupata mabadililko ya katiba mpya, CCM bila kuvunja amani hawataruhu katiba mpya.
Katiba hii ikibadilishwa CCM itatoka madarakani,hivyo hawako tayari ibadilishwshe.
Wajumbe wote karibu wamepigwa butwaa
Katika jambo ambalo linanikera ni hili la kusomba watu kuhudhuria mikutano ya hadhara ya CCM,tatizo hili limekuwa common sana, mfano ni mkutano wa Chongolo mwanza hivi karibuni.Ifahamike pia Hamonize alisaidia kuokoa jahazi.
Nakumbuka enzi za hayati Magufuli akiwa ziarani mikoani njiani...
Watanzania hawapingi mkataba wa DP World kwa ujumla wake,
Ispokuwa wanapinga Baadhi ya vipengere ndani ya mkataba huo na wanavitaja waziwazi juu ya mapungufu wanayoyabaini,ni jukumu la waliosaini makubaliano ya mkataba huo kuvifafanua vipengere hivyo kwa ufasaha ili wanaovipinga vipengere hivyo...
CCM enzi za Jakaya Kikwete kuvaa sare za chama ilikuwa fedheha sana.
Chuma, Hayati Magufuli aliposhika kijiti chama kilipata Imani a heshima kubwa sana toka kwa wananchi,sasa awamu ya sita ya Samia imeamua kwa makusudi kuturejesha kulekule kwa kuvalia jezi za CCM mkutanoni ,kisha baada ya...
Salam
Ndugu mkurugenzi wa maendeleo wilaya ya Geita mjini pole na hongera kwa majukumu yako ya kila siku katika kuwatumikia wanageita mjini.
Naleta malalamiko ya wakazi wa Geita mjini, kata ya kalangalala, mtaa wa mbugani.
Kuna ujenzi wa barabara za mitaa unaoendelea,
Hapa nitazungumzia mtaa...
Kijana mjinga sana, kakata tamaa, hatumii elimu yake ku-reason, kakata tamaaa, anasifia serikali kila anapopewa nafasi kutoa mchango wake. Je, ni msemaji wa serikali?
Ana nafasi gani ndani ya serikali? Mwanzo mwisho haoni changamoto. Hiki ni kizazi cha nyoka, ili u survive hutakiwi kuwa...
Alipopewa nafasi ya kuzungumza kutoa nasaha zake kuelekea kufungwa kwa mkutano mkuu wa CCM, aliongea mengi ya kuwaasa wanachama kujenga mshikamano, kadhalika alimtia moyo mwenyekiti mpya dhidi ya dhoruba ndani ya chama.
Kauli ambayo napenda kwa aliemuelewa atusaidie ni kwasababu huyo ni mzee wa...
Hapa kusema CCM ina maarifa mengi na anauhakika itashinda 2025.
Haya ni maarifa gani? Naomba wataalamu wa kupembua kauli waje kwenye uzi huu tuyajue hayo maarifa mengi waliyonayo wana CCM
CCM imejaa unafiki wa hali ya juu,hakifai hata kidogo kuongoza dola.
Pia soma > Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?
Niwatakie jumatatu njema .
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa, wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP, wakati si kweli.
Kigoma wamezima majenerata, umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.
Mkurugenzi hilo la kigoma...
Nionavyo mgao wa umeme nchini unaendelea kwa sasa ni mkakati wa kuleta majenerata ya kina Agrekko, na Symbion walionyang'anywa tenda hizo na hayati Magufuli, japo watakuja kwa majina mengine kwa lengo la kuondoa dharura ya mgao wa kutengenezwa,
Izingatiwe, kila sababu watawala wamesingizia juu...
Marehemu bibi yetu alifariki kitambo sana, na alizaa watoto wawili wa kike, ambao walikuwa ni mama zetu mkubwa na mdogo nao pia walifariki kitambo sana.
Nyumba aliyoiacha marehemu bibi yetu bado inasomeka kwa jina lake mpaka sasa. Nyumba hii ilileta mgogoro upande wa kodi inyopatikana, baadhi...
Kwanza sijaona jipya kwenye sura za wateuliwa ,walioteuliwa utumishi wao na makandokando yao yanajulikana,wengine tuhuma za dawa za kulevya zunawahusu na wengine kuhujumu mamlaka za uteuzi wanahusika.
Tutegemee kashifa na majungu kutawala.
Wametangulia mbele ya haki Mkapa na Magufuli kimkakati...
Natembea na huu msafara wa rais Samia hapa Dar akiwa katika ufunguzi wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo, zikiwemo barabara.
Mwitikio wa wananchi ni hafifu sana na waliopo kwenye hafla hizi sura zao hazina raha kabisa, kulikoni?
Anayeweza tujuza sababu za haya mapungufu atujuze.
Enzi za...
Kuna desturi ya hawa wahisani wanapotupatia pesa zao za misaada au mikopo yenye mashariti nafuu hutupangia pia na matumizi yake na kututaka tutii baadhi ya mashariti yao.
Je, wakija taka kutupatia pesa kwa mashariti ya kuruhusu mapenzi ya jinsia moja tutazipokea?
Nawasilisha kwa unyenyekevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.