Aisee umefanya kosa kumpiga, usirudie tena kupiga mwanamke. Chamsingi kama imegundua ana wanaume wengi na ukathibitisha achananae magonjwa mengi sikuhizi, usipende kupiga wanawake.
Dahh!! Kumbe kuna wanaogopa kutongoza? Silaha kubwa ya mafanikio ni kujiamini muone bashite anavyo jiamini na fa fa zake huku akiwaburuza wana dasaama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.