Mwanadamu ameacha dira moyoni anaona fahali,
mwongozo ameupa kisogo hatari,
walai kama kamali makaburi yanaongezeka mabwanyenye wanavinjari,
kama mchezo wa kidali,
pambano si la hatari sasa harufu ya damu inanuka kila mahali,
mpaka akili zinafyatuka kama ngedere wa mochwari,
watawala...
Kiwanja cha metre 50 kwa 50 kinauzwa Goba, kwa maongezi zaidi piga no 0753 097863. Pia nyumba inauzwa tabata chama(segerea) kwa maongezi zaidi piga no 0713 334711. Kuona picha ya kiwanja na nyumba angalia www.nunuakiwanja.blogspot.com
yeye pamoja na mwenzake karama masoud aka kalapina kwa pamoja ndio walianzisha kundi la kikosi cha mizinga, kundi ambalo lilikuwa likiangaliwa kwa mtazamo wa tofauti kuanzia na media mpaka jamii kiujumla. Nadhani maneno makali waliyokuwa waiyaongea hawa jamaa yalikuwa hayapokelewi kwa mtazamo...
Hamjui mnachokiongea, hao ni mbwana matumla na francis miyeyusho wote wawili ni mabondia wazuri tu na weshaipeperusha bendera ya Tanzania huko nje kwa kupigana international games, na kufanya vizuri pia. Bondia ipo ya uzito mbalimbali huwezi kumpiganisha david heys na floyd mywether japo wote ni...
Hivi mdau, kuna uwezekano mtu mwenye umuhimu kwa serikali kama alivyokuwa prof mwaikusa akauwawa na serikali ya nchi jirani bila ya serikali yetu kupitia vyombo vyake vya usalama kupata fununu?
Tusihukumu tu jamani, labda kama una lolote la kutwambia, aliuwawa na system kwa uratibu wa jk kwa faida ya nani? Huyo jk ana maadui wangapi na wangapi amewaua kwa kutumia hiyo system? Kumbuka prof mwenyewe alikuwa na msaada mkubwa kwa serikali, je alikosana nini hasa na jk mpaka aamue kumhukumu...
Kwakweli mwenyewe ni hivo juzi ndiyo nimesikia kuna watu walishakamatwa na wapo ndani, kesi inaendelea lakini ndio kwa mwendo wa kutajwa tu hivyo.
Kuhusu chanzo cha kifo wanafamilia hawajui pia, sijaweza kufukunyua sana kutokana na mazingira ya tukio lenyewe lakini inaonyesha wazi kutofahamu...
Unajua kilichonisukuma kuandika thredi hii ni baada ya kusoma thread moja kwenye jukwaa hili kuhusu ile kesi ya Babu Sea.
Sina uhakika lakini naona kama kesi yao ilikwenda haraka sana kulinganisha na hii, naomba mdau anayefahamu ile kesi ya wakina babu seya ilitumia muda gani atujuze, au hawa...
Jana nilikuwa kunduchi salasala kwenye kumbukumbu ya mwaka mmoja tokea kifo cha profesa Jwani Mwaikusa aliyeuawa kwa kupigwa risasi katika mazingira ya kutatanisha nyumbani kwake kama mnakumbuka wadau.
Katika maongezi ya hapa na pale nikapata kuambiwa kuna watuhumiwa walikamatwa wamewekwa...
hivi huwa mnavosema mtu ni freemason mnatumia vigezo gani wakuu? na huyu dada mnamjumuisha vipi kwenye hilo kundi ikiwa mwenyewe hajakili hivyo? nijuavyo mimi freemason ni 'secret brotherhood' sasa huyu dada kaingia vipi hapo? nahoji tu jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.