Mtu moja anajulikana kwa jina la "Blakii" au "Baba Tony" ambaye ni dereva tours alimwua kijana wa kimasai baada ya kumfumania na housegirl wake, amempiga kama mnyama amesaga kizazi chote. Vijana wa kimasai wakakusanyika wamechoma magari yake mawili na nyumba.
Na kama vipi mwili wa marehemu...
Ajali iliyotokea Jana usiku majira ya saa tatu kasoro usiku imesababisha vifo ya watu 5 papo hapo akiwepo dereva.Ajali hii imehusisha gari ya abiria aina ya Noah iliyokuwa inafanya safari yake Kati ya Namanga na Arusha Mjini!
Noah ilikuwa inatokea Namanga na ilipofika karibu na Redio Maalum...
Wana jukwaa napenda niwasalimu wote.
Napenda kuwajulisha ya kwamba rafiki wetu,member mwenzetu marejesho amefiwa na mdogo wake WA Kiume juzi tarehe 10/10/2014 katika hosptali ya Rufaa ya KCMC alikopelekwa kwa matibabu baada ya kuugua kwa muda [siku chache sana] na ndipo mauti ikamfika.
Ni...
Habari Wanajukwaa!
Habari nilizonazo kupitia s.imu yangu ya mkononi Ni kwamba kuanzia saa mbili ya asubuhi hii Wanafunzi WA sh.ule ya ms.ingi hapo Himo njia panda Mkoani Kilimanjaro wamefunga barabara kuu ya Dar es salaam,Arusha kwa sababu ya wenzao wawili waliogongwa juzi na bila ya serikali...
Nilikuwa maeneo ya Mianzini hapa Jijini Arusha na mara katika pitapita yangu nikakuta tangazo hili...........!
Kwa kweli sijajua maana yake ni nini nikatamani niwajuze WanaJf tujadili angalau kidogo!
Amefariki majira ya saa kumi oo nusu hapa Mount Meru Hosptali
Marehemu Said Ally (SUDI) ni mmoja kt ya wahanga wa bomu hilo lililojeruhi wanainchi wengi tu.
Ntarudi muda.
Marehemu Sudi alipatwa na mkasa huu ambao hata imempelekea mauti tarehe 13/04/2014 na akafariki dunia tarehe...
Habari zilizonifikia ni kwamba mpk hivi kuna watu watatu wameshauawa baina ya wakulima na wafugaji.
Mapigano haya yameanza tangu jana na mpaka sasa yanaendelea.
HABARI MBAYA SANA HII.
Mapigano haya yanaendea katika kijiji kiitwacho Poripori.
Nimemwona kwa macho yangu Rais huyu wa Kenya ndani ya Jiji la Arusha majira hii katika msafara mkubwa uliosababisha jamu kubwa barabara ya Ngaramtoni hata hapa Arusha mjini.
Sijajua anaishia hoteli gani hapa jijini ila hakika ameimarishiwa ulinzi wa kutosha kwa jinsi nilivyomwona.
Wenye...
Nipo kwenye mkutano unaoendelea kwenye ukumbi wa Arusha Moden Carwash mchana huu na wachinjaji wote ndani ya Arusha meat.
Sitoweza kuorodhesha majina ya waliopo ila hakika wote wamekutana kwa dharura na chanzo yote ya hii makutano ni moja tu KUPANDA KWA KIWANGO KIKUBWA YA GHARAMA YA UCHINJAJI...
Habari nilizopata kupitia vyanzo mbali mbali vya habari ni kwamba mshabaki wa soccer wa club tajwa hapo juu ameuawa hapo juzi wakati timu hizo mbili zilipokutana juzi jumamosi Liverpool Vs Arsenal ambapo Arsenali waliangukia pua. Mshabiki wa Arsenal ambaye ni mwendesha boda boda hapo wilaya Meru...
Habari zilizonifikia ni kwamba baada ya jana Wanainchi kujichukulia sheria mkononi na kulichoma moto Bus lote na kuanzia leo kampuni ya usafiri wa abiria ya Mtei Express imegomea safari zake ndani ya Mkoa huo baada ya jana basi lake lililosababisha ajali ya watoto watatu waliokuwa wamepakizwa...
Ni dk yapata 30 nipo kwenye jam barabara ya Arusha Nairobi kuna foleni yapata karibu mji mzima. Tetesi katika foleni ni kwamba Mkuu yupo njia moja kuelekea Monduli TMA kuwapa nishani maafisa.
Sasa jam yote karibu lisaa bila hata tukio ya kupita kwake ya nini?
Ckupata bahati ya kuangalia mechi ya juzi baina ya Real Betis ambapo Barca waliibuka kidedea kama kawaida yao.......mabao ya Barca ilifungwa na Neymar dk 35,Pedro dk 37,Cesc Fabregas dk 63,79 na lile moja la Real Betis ikifungwa kwa penati dk 90 ya lala salama na Jorge Molina.
Katika dk ya 20...
Baada ya matokeo haya hakika nikiwa kipenzi wa Liverpool Football Club hakika matokeo haya yamenirejeshea matumaini ya kwamba Liverpool FC waweza wakawa BINGWA msimu huu. Maoni kwa member hawa ni muhimu. Asprini Mbu na wengine wote wenye mapenzi mema na Liverpool Fc
Ni jumatano ya wiki iliyopita M/kiti wa chama cha mafisadi a.k.a CCM Mkoa wa Geita Ndg Msukuma..........alifika na kundi la wachimbaji wadogo wadogo eneo halali la mgodi wa Geita Gold Mine liitwalo Kukuruma na kuwaamuru wale wachimbaji wachimbe kwani hakuna mtu yeyote atakayewabugudhi kwani yeye...
Niko safarini ndani ya bus la Saratogaline linalotoka Urambo kwenda Kigoma. Tulipofika mahala Nguruka tukamkuta kijana mmoja anaomba msaada wa usafiri wa kwenda kwao Malagarasi na akajitambulisha kwa jina moja la Dashina.....kachanjwa chale karibu kila mahala na kupakwa dawa nyeusi sehemu...
Nipo hapa mtaa wa Ilboru sec school na naona wanafunzi wanatoka na mabegi na naona kuna magari matatu ya polisi na wamejiandaa kwa lolote lile. Ngoja niifuatilie na nitarudi hapa hapa kwa maelezo zaidi.
Sijui ni nini imewasibu hawa wadogo zangu hapa shuleni.
Jamani kuna majanga hapa jijini. Baba mkwe pamoja na familia yake yote amegomea harusi ya mtoto wake baada ya kufika kanisani hapa na kukuta ndoa imeshafungwa bila ya wao kuwepo. Sakata hili limekuwa gumzo sana hapa Kanisani ila naona kama noma inapoozwa.
Mazishi ya Marehemu Erasto Msuya aliyeuawa na watu wasiojulikana Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro karibu kabisa na njia ya kuelekea Uwanja wa Ndege KIA tarehe 7/08/2015 yatafanyika kesho nyumbani kwao kijiji cha Cairo Wilaya Arumeru kwa Mbunge Mh. Nassari.
Mwili wa marehemu uliwasili leo...
Katika kile kinachoaminiwa ya kwamba Brasil ni Taifa lenye washabiki wakubwa wa soka magwiji hawa wamekutana na kutokubalika kwa raia wa Nchi hiyo baada ya Ronaldo De Lima kukubaliana na serikali yao katika ujenzi wa viwanja vya soka na kuacha wanainchi wakiteseka pasipo na huduma ya lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.