Wana-jamiiforums naombeni mtoe mawazo yenu.
Kuna mwanaume ameoa na ni baba ana watoto kadhaa,ila hafanyi tendo la ndoa na mkewe hata kwa mwezi inakuwa mara moja tu au mbili,ila kila siku anapokuwa amelala yupo macho lakini anasoma magazeti huwa anajishika uume na mapumbu yake mpaka anasinzia...
kweli kabisa miss chaga,unakuta mwanaume anarudi kutoka kazini sa mbili au tatu usiku monday to saturday na kila siku amechoka,hapa kweli kidumu lazima.unajua kwa mwanamke kama ushaanza tendo hilo kuacha ni ngumu so every day u need to be saved.na mianaume ya siku hizi ya chips kuku wavivu kweli.
habari za siku wanajamii forum wenzangu,mimi ni mwanamke niliyedumu kwenye ndoa kwa muda wa miaka 9 mpaka sasa,imetokea kuona mesage kwenye simu ya mume wangu zikiwa zimeandikwa kwenda kwa mdada anayefanya nae kazi nyikngi ni za kumjulia hali na kumtakia mchana mwema.ila huwa akishachat na huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.