Gari wanazo! Tunaongea kwenye uhalisia!! Labda tuseme wanataka rushwa tu!
Mbona Ilemela na maeneo mengine hakuna usumbufu huu?? Hebu jaribu kupiga huduma kwa wateja kama utasikilizwa! Maafisa wa TANESCO Nyamagana wana kauli mbaya sana kwa wateja! Imebaki kuwarekodi tu na kumtumia JPM.
Hii ofisi ya TANESCO Nyamagana ni wabovu kiutendaji.
Kuanzia kitengo cha huduma kwa Wateja; Mafundi na Uongozi mzima wa hiyo ofisi. Mteja akiwa na fault ukitoa taarifa inazidi masaa 48 na bado tatizo la mteja halitatuliwi.
Hata ukiomba namba za mafundi hupewi na hata Meneja hawataki kutoa...
Kuna watu ni waongo sana na wapumbavu. Mimi ninakaa Usagala. Hiyo barabara ni VUMBI, sasa anayesema imekamilika kwa 91% sijui kama akili zake zipo sahihi.
Kuna watu ni waongo sana na wapumbavu. Mimi ninakaa Usagala. Hiyo barabara ni VUMBI, sasa anayesema imekamilika kwa 91% sijui kama akili zake zipo sahihi.
Ni hakika kuwa mchakato wa kupata katiba mpya umeshindwa na jibu ka katiba mpya mwa huu halipo. Kwa wanaojua hesabu kama unakokotoa kupata jibu ukigundua kuwa jinsi unavyokokotoa kuna ugumu unajitokeza ni busara kuanza kufuatilia wapi umekosea ma mwishowe unagundua na kurekebisha sehemu...
Ndugu zangu, nimefuatiia sana namna ambavyo mchakato wa kuipata Katiba mpya unavyokwenda. Kila anayepata nafasi ya kuongelea katiba anakuja na mtazamo wake.
Tukianzia jinsi Tume ilivyoundwa tulisikia malamishi kibao tu. ukaja muda wa kutoa maoni pia tulisikia makundi mbalimbali yakiwa na...
Nimekuwa nikiimba sana wimbo wa Taifa toka nikiwa mdogo ninasoma chekechea hadi sasa hivi. Kuna maneno ambayo katika wimbo huo nadhani unahitaji marekebisho. Pale panapoimbwa........" Wabariki Viongozi wote". Kwa jinsi ilivyo hata kama kiongozi ni Fisadi, ,mwizi, muuza madawa ya kulevya, mtoa...
Kwa wasio mjua Mabina mtadhani kaonewa. Ni jambazi, mwizi, mnyanga'nyaji wa ardhi ya wananchi. Cha kushangaza hata Kikwete ameshawahi kutembelea ardhi hiyo wananchi wakamlalamikia lakini akauchuna. Nguvu ya umma nimefurahi imefanya kazi.
Bado Kabwe aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Mwanza, bado...
Kuna watu aina ya Sixgate ni wa ajabu akili zao zimeganda. Hawajui kinachoendelea katika siasa wao ni kulipuka tu na maneno ya uongo. Penda usipende tayari process ya kuunda kamati imeenda vizuri. Kuna wasomi, wataalamu wa fani mbalimbali na watu tunaowaita influencial katika jamii. Hakika CDM...
Sasa hivi kamati zinaundwa na zoezi linaendeshwa kwa ushirikishwaji wa hali ya juu sana. Bila ubaguzi wa aina yeyote na ametoa wito wa yeyote mwenye nia njema ya kujenga chama awe tayari kuimarisha chama. Zoezi hili ni mwanzo tu na tuna imani tutapata team nzuri na imara. It is a very...
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani na Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe Mbowe amezidi kuimarisha msingi imara wa Chadema Kanda ya Ziwa. Kuna mambo ya msingi namna ya kuwashirikisha wadau mbalimbali ambao ni committed and competent ili kuendelea kuhakikisha kuwa chama kinakuwa imara zaidi.
Mkakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.