Hahahaha ndo mwisho wako wa kufikiri unazani wauza unga ni watoto kama nchi zilizoanza zamani kupambana na wauza unga kama kina escobar hadi leo nchi hizo bado dawa zinaingia angalia sheria kali za china juu ya wauza unga na bado unga unaingia angalia england marekani wameimarisha ulinz wa...
Hivi leo ndo anaanza kuwa kiongoz?? Gwajima alikuwa wapi makonda alipokuwa. Mkuu wa wilaya baada ya kutajwa kwenye unga gwajima ndo anaapa atahakikisha makonda hawi Rc
Mtu ana F D C ndo vimejaa kwenye cheti et nae ndo anaomba chet cha makonda hivi hujioni na wewe una uwezo mdogo wa akili halafu wenye vimatokeo vidogo na wenye 4 mbaya ndo wanaomba vyet mbona kuna watu wenye mabanda yao na md zao kama kina kigwangala na wengine wamekaa kimya aseee wewe unaeomba...
Yaani bongo ndo tunaithamin elimu baada ya makonda kufatilia unga hivi kama tunajali elimu prof lipumba tungekuwa tumemchagua miaka mingi leo tumeangalia midomo ya wanaojua kuongea na sio wenye elimu mi ata siilewi bongo
Piga kaz mkuu achana na maneno na hamna haja ya kuwaonyesha vyeti ni udhaifu wa hali ya juu kuanika elimu yako kwa kuonyesha vyeti watu badala ya kuwaonyesha kazi kwani wangapi wana vyeti na kazi zao mbovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.