Siku ya Jumapili, ofisi ya Kisaki (Kwa Dada Kulwa) huwa inafunguliwa jioni na hasa ni kwaajili ya kutoa vibali vya wanaoingia jumatatu. Hivyo ilipofika mida ya saa kumi na mbili kasoro ya jioni nilifika pale na bahati nzuri sana Dada Kulwa hakuwepo.
Alikuwepo msaidizi wake kijana mmoja...
Baada ya HR kusema hayo alitutoa nje ya ofisi yake,
Hapo nikajiuliza kitu.
Hivi yule "Dada Kulwa" alivyokuwa ananiambia kuwa amefunga kutoa vibali siku ile nilipofika na mimi kumkubalia hiyo kesho yake ningewezaje kuwahi hii interview?
Pia nilichokiona mpaka hapo ni kuwa HR wa hii kampuni ya...
'Nilitamani ningeyajua haya kabla ya Kuomba ajira kwenye mradi wa "Bwawa la Nyerere" chini ya kampuni ya JV Arab Contractor & Elsewedy Electric'
Kama ilivyo kwa vijana wengi wa kitanzania, katika pita pita zangu mitandaoni na kutafuta ajira nilikutana na tangazo ajira toka kwa hawa jamaa...
Umeeleza vyema sana
Ahsante kwa ufafanuzi wa alama za msingi; ila cha kusikitisha sana haya uliyoeleza kwasasa hapa nyumbani TZ yameingia doa baada ya Idara ya Polisi Barabarani kugeuka kuwa kitengo kingine cha mapato cha serikali.
Sheria nyingi za barabarani zinapinduliwa pinduliwa kwa...
Umenena vyema sana Mkuu....
Pia gharama za usafiri zimeongezeka zaidi!
Kutoka Mbeya hadi Mwanza kupitia Mtera ni lami tupu ila hamna faida yake maana safari inachukua siku 2.
Uwekezaji wetu kwenye miundombinu imekuwa kazi bure tu
Tumeshindwa kuugeuza kwenye faida za kiuchumi kwa kuzingatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.