Hakuna yeyote anayeweza kuthibisha uwepo wa Mungu kwa ushahidi wa aliyotenda yakionekana na yeye akionekana pia. Unless tutaleta tu story, mapokeo ya nadharia na vifungu vya dini. Kama yupo aliyewahi kukutana na Mungu , athibishe. Nje ya hapo ni blah blah tu. Mungu ni imani, na uwepo wake ni...
Ndugu zangu. Naomba msaada zaidi kuhusu Burundi. Nataka kwenda sasa kupeleka viatu, yebo, pochi na bidhaa kadhaa za urembo za akina dada. Kwa mujibu wa taarifa za mabadiliko ya fedha, Franc ya Bururundi ipo juu yetu X2. Na CRDB wapo Burundi. Nauliza hivi, Je nikiuza bidhaa zangu kwa Franc alafu...
Inaonekana huu ni ugonjwa ulioulea mwenyewe na ndio unakutafuna sasa. Mkeo anakuaga usiku kuwa anasafari asubuhi na we unamuitikia tu? Hahaa! Safari ya siku kadhaa nje ya mkoa na it's okay with you? Unajua kinachiendelew huko Dom na inauma sana but kwa mtazamo wangu, Deal with it.
Habari wadau.
Nimeamua kununua bajaji ili kujikimu na maisha. Hapa nilipo Bajaji ni nyingi na biashara imekuwa ngumu mno. Vipi we ukwapi na biashara ya Bajaji imekaaje pande hizo? Nipo tayari kutimba popote coz naendesha mwenyewe.
Msaada tafadhali.
Hahaa Wamarekani bhana,,
Wamesahu walichofanywa na Gerneral Mohamed Farah Aidid wa Somalia 1993 kwenye the battle of Mogadishu? Hiyo ngoma iliitwa ' The black hawk down' Walitafutana.
Wengi hawajaulewa utani wa Chriss. Ji jane ni movie inayomuelezea mwanamke aliyekuwa anakatishwa tamaa na jamii kumwekea vikwazo kutokana na imani kwamba atafeli mazoezi magumu ya kikosi maalumu cha jeshi alichojiunga nacho. Ji Jane alipambana kufa na kupona mpaka akanyoq nywele zake na akatoboa...
Na doubt mshahara wake. Unamlipa vizuri? Mpe onyo akiendelea mpunguze mshahara kutokana na muda anaochelewa kufungua biashara. Ila njia rahisi ambayo hata kwangu huwa inafanya kazi japo biashara zangu ni tofauti kidogo ni kumlipa kwa commission. Yaan mwekee asilimia kadhaa kwenye kila anachouza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.