Rais Magufuli ruhusu ajira kwa vijana
Tu naingia mwaka wa pili sasa, Rais yuko kimya kuhusu AJIRA, as if hakuahidi, wizara husika nayo haina kazi ipo ipo tu na wimbo wa uhakiki mwaka wa pili hhuu
Mbaya zaidi Magufuli amekuwa ndio kila kitu, Wizara zinahitaji vijana wajiriwe lakini...
Vinauzwa jointly bei 200 Cash , Mtungi UMEJAAA kampuni ya orynx kilo 32.5kg , jiko ni used for 4 months plates 2 KIOO safi na, pipe na gas meter yake, njoo ubebe mzigo sawa na bure!
Nipm uwahi Kimara asbh maana nitaondoka....
My
Nairobi, Magari yamezagaa hovyo the so called matatu, the city is overcrowded with matatu making it busy and noisy.
Walitakiwa watafute sehemu huko peripheral for all matatu to park rather than entering the core of the city kama Tanzania
All public transports (matatu) zilikuwa ziwe na stand...
Wakuu soko la ajira limekuwa gumu, anaehitaji Daktari(MD) Dar au sehemu yoyote Tanzania iwe permanent au part Time nipo....
Ni PM..
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.