East Africa Community, najaribu kuotea tuu, na kama ndivyo kulingana na hadhi na kiasi cha mishahara ya taasisi ile sishangai kwako kuzipotezea ndoto na mipango yako na kutujumuisha vijana wa kaskazini mwa jangwa la sahara kuwa hatuna adabu na nidhamu katika maisha na eti ndio sababu hupotea...
Dogo kafanye BSc. Economics. wala usihangaike kujitutumua kwenye mambo ya Afya ama engineer, fanya iyo kitu na jitahidi kufaulu vyema, na ukipata nafasi wakati unasoma hii course changanganya na optuonal course za finance na investments kutegemea na nafasi ya muda pamoja na chuo unachosoma...
Uzalendo ni hoja ovu ya kisiasa inayolenga kudunisha mawazo changamano ya ukuzaji uchumi wa Tanzania kupitia Wanadiaspora wake.
Wanasiasa ndio wahuni wanaotisha na kuogofya wananchi kuhusu Hoja ya kuanzisha uraia pacha Tanzania na wala sio wananchi wanaohofu uwepo wa uraia pacha Tanzania.
Premature Business Idea - PBI.
TAFADHALI CHUKUA HATUA vyenginevyo utawadha na hatimae kufa na Ideas zako bure bure bila ya jata kuwafaidisha wapendwa na maadui zako
Unakufuru kiongozi, yaani unataka uuwe kiumbe kinachotayarishwa na Mungu kuja duniani. Unapaswa kujiuliza wewe ni nani. Unaeweza kuingilia Mipango ya Mungu kugharibi anachokileta duniani. Huyu baby anaekuja ana nafasi yake hujui atakuwa na atakuja na nini.
TAFAKARI.... CHUKUA HATUA
Sent from...
Nilijua tuuu lazima mzee baba utasogea huku. Uko sawa sana kwenye ulimwengu wa kiroho. Maelezo yako huwa hayanipiti kwenye nyuzi kama hizi hutafuta comment zako tuuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.