Search results

  1. AVRAM

    Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

    @Bata batani nimekuelewa vizuri sana.
  2. AVRAM

    Sisi vijana wa Kusini mwa jangwa la Sahara tuwe na nidhamu (self discipline) kwenye maisha

    East Africa Community, najaribu kuotea tuu, na kama ndivyo kulingana na hadhi na kiasi cha mishahara ya taasisi ile sishangai kwako kuzipotezea ndoto na mipango yako na kutujumuisha vijana wa kaskazini mwa jangwa la sahara kuwa hatuna adabu na nidhamu katika maisha na eti ndio sababu hupotea...
  3. AVRAM

    Ni course gani naweza kusomaa kwa matokeo haya?

    Dogo kafanye BSc. Economics. wala usihangaike kujitutumua kwenye mambo ya Afya ama engineer, fanya iyo kitu na jitahidi kufaulu vyema, na ukipata nafasi wakati unasoma hii course changanganya na optuonal course za finance na investments kutegemea na nafasi ya muda pamoja na chuo unachosoma...
  4. AVRAM

    Hizi ni Series ambazo zimenishinda kabisa

    Katika kila series utakuta kuna mambi flani ya kitoto ila nyengine zimezidi
  5. AVRAM

    Soko la Kariakoo lateketea kwa moto

    Kiongozi uzi unahusu moto kariakoo hawa uamsho wanabusika vipi? Acha uzandiki na sarakasi za bandia.
  6. AVRAM

    Bamileke: Kabila la Cameroon linalopingwa nakuogopwa na makabila mengine; ndio hao wanataka Cameroon ijitenge

    Watanganyika mumeharibu uzi, baana ya kuwa tumepata taarifa mumeweka na dhana ya ukabila humu
  7. AVRAM

    Ushauri kwa Balozi Mulamula: Mkitaka Tanzania ifaidike na Diaspora suala la uraia pacha haliepukiki

    Uzalendo ni hoja ovu ya kisiasa inayolenga kudunisha mawazo changamano ya ukuzaji uchumi wa Tanzania kupitia Wanadiaspora wake. Wanasiasa ndio wahuni wanaotisha na kuogofya wananchi kuhusu Hoja ya kuanzisha uraia pacha Tanzania na wala sio wananchi wanaohofu uwepo wa uraia pacha Tanzania.
  8. AVRAM

    Nina wazo la kipekee sana litakaloanza hivi karibuni ila nina hofu kubwa sana

    Premature Business Idea - PBI. TAFADHALI CHUKUA HATUA vyenginevyo utawadha na hatimae kufa na Ideas zako bure bure bila ya jata kuwafaidisha wapendwa na maadui zako
  9. AVRAM

    Ana Mimba yangu, ila nimeoa na sitaki mtoto nje ya ndoa

    Unakufuru kiongozi, yaani unataka uuwe kiumbe kinachotayarishwa na Mungu kuja duniani. Unapaswa kujiuliza wewe ni nani. Unaeweza kuingilia Mipango ya Mungu kugharibi anachokileta duniani. Huyu baby anaekuja ana nafasi yake hujui atakuwa na atakuja na nini. TAFAKARI.... CHUKUA HATUA Sent from...
  10. AVRAM

    Angalizo kwa wadada, kuna dawa hatari ya kuwapata bila kuwatongoza

    Mhhhh na uka hivyo kusubiri ushahidi
  11. AVRAM

    Unafanyeje kurejesha mapenzi katika ndoa yako?

    Weee nawe kidhungu kingi, mtu kashakwambia mume wangu tena unauliza, kwani unafikiri anaishi Luxembourg.... kule kunako same sex marriage.
  12. AVRAM

    Paka wa nyumbani kafia miguuni mwangu; kuna cha kuhofia katika ulimwengu wa kiroho?

    Nilijua tuuu lazima mzee baba utasogea huku. Uko sawa sana kwenye ulimwengu wa kiroho. Maelezo yako huwa hayanipiti kwenye nyuzi kama hizi hutafuta comment zako tuuu.
Back
Top Bottom