Hatimaye serikali yasitisha usajili wanoah katika biashara.
Huu usafiri unasaidia sana vijijini, umerahisisha maendeleo na mambo mengine , figusu katika nchi yetu haziishi, hatimaye wamesitisha huduma za kusajili noah katika biashara, sijui hii imechukuliwa kwa mtazamo gani.
Hivi wanaopitishaga...
Kutokana na kuungua kwa jengo la UTAWALA chuo cha MAAFISA TABIBU KILOSA, mwaka 2018, kulipelekea baadhi ya WAHITIMU kutopata vyeti vyao ambavyo viliungua vikiwa katika jengo hilo.
Wahitimu waliokosa vyeti wamefatilia bila kuwepo na jitihada za kupata haki zao za vyeti ili waweze kuajiriwa au...
Habari wapendwa,
Nitafanyaje kama nimekosea kujisajili Watumishi portal ili niweze kupata salaryslip? Yan nimekosea email kwa hiyo sijapata ujumbe wa kuhakiki,
Nikipiga namba zao kwa msaada hawapokei nyingine hazipatikani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.