Ulitaka serikali ifanye nn labda zaidi ya kuweka miundombinu wezeshi na rafiki ili wananchi wapate wepesi katika shughuli zao??, je hizo hospital zinajengwa na kuachwa tu bila watu na vitendea kazi??? Je ni kweli kwamba serikali imejikita kwenye hivyo vitu tu ulivyovitaja na huku kwenye sekta...
mm akili yangu iko timamu Kabisa, hivi unataka kuniambia kwamba hata Kama kusoma hujui na kusikia pia husikii au hata kuona pia umeshindwa, nimekuambia kwamba kila awamu ina vipaumbele vyake, huko ambako serikali inawekeza nguvu zake basi huko lazima tu ajira nyingi zitazalishwa either directly...
Mnaongea as if vitu vingine vimesimama, yaan Kama vile kwenye sekta nyingine hakuna vitu vinavyofanyika. Hivi ni kweli kwamba kwenye sekta ya afya, Kilimo, elimu, maji, na zingine ukiachana na sekta ya miundombinu mawasiliano na uchukuzi hakuna kilichofanyika Kabisa?? Halfu mnaposema kodi...
Unachopinga nn hasa?? Kwamba hizo sio ajira?? Kwan aviation industry ni pilots tu na air hostages??, alfu muelewe kuwa kila awamu au serikali ina vipaumbele vyake, kwahyo Kama vipaumbele hivyo havikugusi moja kwa moja haimanishi kwamba hakuna anayenufaika navyo.
Lissu siyo mzalendo hata kidogo, ukiangalia sera zake zipo kujenga taifa tegemezi na sio taifa linalojitegemea. Tunataka Tanzania yenye uwezo wa kujitegemea kwa kila kitu katika siku za usoni, na sio taifa tegemezi.
Atarudi kwa kishindo, tena kishindo cha radi, Magufuli ni sauti ya Simba aungurumapo hakuna wa kusima.
Tukutane trh 29/08/2020, Dodoma. Safari hii ni mwendo wa kuwatimulia vumbi, tena vumbi la jangwani. Ilisikika sauti ikisema hakika limebarikiwa tumbo la mama aliyemzaa Magufuli.
Tunahitaji...
Naona Mr drama anaendeleza drama, the fact is, hata Magufuli ikitokea amepata dharula gani akashindwa kushiriki kampeni, na Lissu akabaki yeye na wagombea wa vyama vingine, He can't win election. I can see him leaving after this election, he won't forget this year ever
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.